Stand kuu Nyegezi Mwanza kuhamishiwa eneo la uwanja wa shule ya msingi ni ufinyu wa kufikiri

swagazetu

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
4,251
1,467
Waajf kuna mambo yanachefua ukiyadikia na kuyaona,hivi ninavyoandika tangazo lililopo ni shughuli zote za stand kwa maana ya usafirishaji na huduma za jamii kuhamishwa eneo la stand kwenda eneo la kiwana cha shule ya msingi jirani kupisha uboreshaji wa stand kuu hiyo kwa mda wa miaka miwili.Eneo lililotengwa limebanana kwa karibu na shule ya m/nyegezi na nyabulogoya na pia sekondari ya Nyabulogoya.hii ina maaa watoto hawataweza kutumia kiwanja kwa miaka miwili hiyo.

Pia athari ambazo kila mmoja anazifahamu ni madhara yatokanayo na shughuli za stand,aina ya watu wa stand na vurugu za stand.

Bado ukiangalia hili eneo halina barabara bora kumudu magari ya kuingia na kutoka barabara zilizopo ni vumbi na finyu sana lakini pia tutegemee ajali na watoto wetu kugongwa na mabasi yaendayo safari hasa kwa watoto wanaojidamka kuwahi namba shuleni.Eneo lenyewe halifai kwa shughuli hiyo.

Sababu ya mimi kuhoji ni kwa manufaa ya nani ni hii:

Mosi,Eneo la Buhongwa kilomita km tano kutoka stand hiyo kuna eneo la Dampo lenye takribani heka 40 na kwa sasa linajengwa dampo la kisasa hakuna harufu wala uchafu wa kunuka(ikumbukwe hata hapo nyegezi lilikuwa dampo kuu zamani hata stand ilipokuwepo lilihamishwa hivi karibuni),ukiangalia eneo la dampo barabarani kuna eneo la wazi kama heka tano zaidi halitumiwi km dampo lipo wazi tu japo kwa sasa limewekewa fensi.

Pili,Jirani na dampo hilo jirani na shule za Musabe kuna eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya Standa ya magari ya mizigo lipo wazi hakuna shughuli yyote inayofanyika pale lakini limeachwa tu badala yake wameenda kubanana na shule za watoto wetu.

Je ni kwa maslahi ya nani?
 
Jambo la kwanza lililonishtua ni usalama wa hao watoto/wanafunzi kwenye mengi. Nami sielewi kwanini mtu/watu wafanye uamuzi huo na kunyima wanafunzi pia eneo lao la kucheza/kupumzika/kuwa huru na kuishia kuona mengi ya ajabu wasiyobidi kuyaona kilazima katika maisha yao ya utotoni. Ni nini haswa wanataka hao wanafunzi wawe? Inasikitisha sana
 
Waajf kuna mambo yanachefua ukiyadikia na kuyaona,hivi ninavyoandika tangazo lililopo ni shughuli zote za stand kwa maana ya usafirishaji na huduma za jamii kuhamishwa eneo la stand kwenda eneo la kiwana cha shule ya msingi jirani kupisha uboreshaji wa stand kuu hiyo kwa mda wa miaka miwili.Eneo lililotengwa limebanana kwa karibu na shule ya m/nyegezi na nyabulogoya na pia sekondari ya Nyabulogoya.hii ina maaa watoto hawataweza kutumia kiwanja kwa miaka miwili hiyo.

Pia athari ambazo kila mmoja anazifahamu ni madhara yatokanayo na shughuli za stand,aina ya watu wa stand na vurugu za stand.

Bado ukiangalia hili eneo halina barabara bora kumudu magari ya kuingia na kutoka barabara zilizopo ni vumbi na finyu sana lakini pia tutegemee ajali na watoto wetu kugongwa na mabasi yaendayo safari hasa kwa watoto wanaojidamka kuwahi namba shuleni.Eneo lenyewe halifai kwa shughuli hiyo.

Sababu ya mimi kuhoji ni kwa manufaa ya nani ni hii:

Mosi,Eneo la Buhongwa kilomita km tano kutoka stand hiyo kuna eneo la Dampo lenye takribani heka 40 na kwa sasa linajengwa dampo la kisasa hakuna harufu wala uchafu wa kunuka(ikumbukwe hata hapo nyegezi lilikuwa dampo kuu zamani hata stand ilipokuwepo lilihamishwa hivi karibuni),ukiangalia eneo la dampo barabarani kuna eneo la wazi kama heka tano zaidi halitumiwi km dampo lipo wazi tu japo kwa sasa limewekewa fensi.

Pili,Jirani na dampo hilo jirani na shule za Musabe kuna eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya Standa ya magari ya mizigo lipo wazi hakuna shughuli yyote inayofanyika pale lakini limeachwa tu badala yake wameenda kubanana na shule za watoto wetu.

Je ni kwa maslahi ya nani?
Hilo liko wazi kuna baadhi ya watu wanao linda masilahi yao hususani wanao miliko ma gesiti na maduka ya kukodi..... kwasababu ninavo ona lili eneo ni dogo sanaa kwa ma basi zaidi ya 100 kuegeshwa pamoja na hilo vunjo na vurugu za stendi sio za kueka karibu na shule.....Viongozi wetu wengi wako myopic katika reasoning
 
Sababu ya mimi kuhoji ni kwa manufaa ya nani ni hii:

Mosi,Eneo la Buhongwa kilomita km tano kutoka stand hiyo kuna eneo la Dampo lenye takribani heka 40 na kwa sasa linajengwa dampo la kisasa hakuna harufu wala uchafu wa kunuka(ikumbukwe hata hapo nyegezi lilikuwa dampo kuu zamani hata stand ilipokuwepo lilihamishwa hivi karibuni),ukiangalia eneo la dampo barabarani kuna eneo la wazi kama heka tano zaidi halitumiwi km dampo lipo wazi tu japo kwa sasa limewekewa fensi.

Pili,Jirani na dampo hilo jirani na shule za Musabe kuna eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya Standa ya magari ya mizigo lipo wazi hakuna shughuli yyote inayofanyika pale lakini limeachwa tu badala yake wameenda kubanana na shule za watoto wetu.

Je ni kwa maslahi ya nani?
Je, mkuu umeyafikisha mapendekezo haya kwa wahusika?

Wazo la kuvamia shule na kuzigeuza standi ya mabasi inashangaza sana. Hata siamini kama uamzi kama huo kweli umefanyika.

Kuna mabasi mangapi yanayoingia hapo kwa siku!

1. wanaweza kuyagawanya katika mafungu na kuyaelekeza katika vituo vingine vidogodogo kule mjini au hata pembeni barabarani? Kwa mfano, pale karibu na jeshi, kuna uwanja wa mpira. Unaweza kutumika kwa muda! Na sehemu nyingine kama hizo!

2. wanaweza kuweka muda maalum kuingia shule hizo wakati wanafunzi hawapo? Usiku pekee?

3. wanaweza kufanya kazi za marekebisho katika stendi kuu kwa awamu? Sehemu moja inafungwa kwa matengenezo huko sehemu nyingine ikikarabatiwa?

4. Ukarabati unaweza kufanyika usiku/mchana na mabasi yapewe ratiba ya kuitumia mchana/usiku?

Wazo la kuvamia shule ni wazo baya kabisa.
 
Naomba kuuliza walio karibu na uongozi wa jiji mwanza: kwenye vikao kuanzia mwaka juzi na mwaka jana walikuwa wanatafuta pesa kutekeza miradi 3 au 4 ikiwemo
1.Mradi wa standi nyegezi
2. Mradi wa viwanja Lwanihima kufidia mradi wa Rahaco
3.mradi wa soko kuu
4. Mradi wa dampo
Walikuwa wanategemea kukopa, he imefanikiwa miradi yote au ni mmoja tu?
 
Je, mkuu umeyafikisha mapendekezo haya kwa wahusika?

Wazo la kuvamia shule na kuzigeuza standi ya mabasi inashangaza sana. Hata siamini kama uamzi kama huo kweli umefanyika.

Kuna mabasi mangapi yanayoingia hapo kwa siku!

1. wanaweza kuyagawanya katika mafungu na kuyaelekeza katika vituo vingine vidogodogo kule mjini au hata pembeni barabarani? V mfano, pale karibu na jeshi, kuna uwanja wa mpira. Unaweza kutumika kwa muda! Na sehemu nyingine kama hizo!

2. wanaweza kuweka muda maalum kuingia shule hizo wakati wanafunzi hawapo? Usiku pekee?

3. wanaweza kufanya kazi za marekebisho katika stendi kuu kwa awamu? Sehemu moja inafungwa kwa matengenezo huko sehemu nyingine ikikarabatiwa?

4. Ukarabati unaweza kufanyika usiku/mchana na mabasi yapewe ratiba ya kuitumia mchana/usiku?

Wazo la kuvamia shule ni wazo baya kabisa.
Pale Nyegezi Corner eneo la Jeshi panaweza kutumika kwa muda
Sidhani kwamba JWTZ watakubali. Wao huwa hawataki kuchanganyika na raia. Eneo lile ni la jeshi
 
Sidhani kwamba JWTZ watakubali. Wao huwa hawataki kuchanganyika na raia. Eneo lile ni la jeshi
Ni mchango wa mawazo tu; hao ni wafuata amri tu, Amiri Mkuu anaweza kutoa amri na ikafuatwa bila kuhoji.
Kuliko kuingilia na kuvuruga shughuli za shule, ni hata bora kukodi maeneo mbalimbali kwa wenye maeneo kwa muda huo wa miaka miwili. Ni kiasi cha maelewano tu wapo watu wapo tayari kufanya biashara.
 
Waajf kuna mambo yanachefua ukiyadikia na kuyaona,hivi ninavyoandika tangazo lililopo ni shughuli zote za stand kwa maana ya usafirishaji na huduma za jamii kuhamishwa eneo la stand kwenda eneo la kiwana cha shule ya msingi jirani kupisha uboreshaji wa stand kuu hiyo kwa mda wa miaka miwili.Eneo lililotengwa limebanana kwa karibu na shule ya m/nyegezi na nyabulogoya na pia sekondari ya Nyabulogoya.hii ina maaa watoto hawataweza kutumia kiwanja kwa miaka miwili hiyo.

Pia athari ambazo kila mmoja anazifahamu ni madhara yatokanayo na shughuli za stand,aina ya watu wa stand na vurugu za stand.

Bado ukiangalia hili eneo halina barabara bora kumudu magari ya kuingia na kutoka barabara zilizopo ni vumbi na finyu sana lakini pia tutegemee ajali na watoto wetu kugongwa na mabasi yaendayo safari hasa kwa watoto wanaojidamka kuwahi namba shuleni.Eneo lenyewe halifai kwa shughuli hiyo.

Sababu ya mimi kuhoji ni kwa manufaa ya nani ni hii:

Mosi,Eneo la Buhongwa kilomita km tano kutoka stand hiyo kuna eneo la Dampo lenye takribani heka 40 na kwa sasa linajengwa dampo la kisasa hakuna harufu wala uchafu wa kunuka(ikumbukwe hata hapo nyegezi lilikuwa dampo kuu zamani hata stand ilipokuwepo lilihamishwa hivi karibuni),ukiangalia eneo la dampo barabarani kuna eneo la wazi kama heka tano zaidi halitumiwi km dampo lipo wazi tu japo kwa sasa limewekewa fensi.

Pili,Jirani na dampo hilo jirani na shule za Musabe kuna eneo la wazi lililotengwa kwa ajili ya Standa ya magari ya mizigo lipo wazi hakuna shughuli yyote inayofanyika pale lakini limeachwa tu badala yake wameenda kubanana na shule za watoto wetu.

Je ni kwa maslahi ya nani?

Mbunge Mh Mabula, Meya na Madiwani wamebariki hili zoezi bila kuzingatia tahadhali yakinifu?

Watoto watakuwa hatarini sana
 
Na utashangaa utetezi ukaambiwa hapo shuleni walipopeleka stenc vyoo vipo tayari hivyo vya shule

Halafu maboresho ya miaka miwili wanaweka na nini? Si ni muda wa ujenzi wa stendi mpya kabisa au mkandarasi mwenyewe ndo kawapa huo muda?
 
Pale nyegezi corner transit camp jwtz ngumu kuwapa isitoshe pembeni ya uwanja Kuna hospitali kubwa tu Sasa kelele Na hospitali Ni KERO kwa wagonjwa na watoa huduma
 
Back
Top Bottom