pozzyfaza
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,453
- 268
StanBic utaratibu mlio weka mwezi huu unatutesa. tunalala njaa , check inaletwa tarehe 18 ili wafanyakazi tarehe 21 tuwe tumepata mshahara mpaka sasa mshahara bado, wengine hatuna pesa. mnasema mara check iende cjui wapi , utaratibu huu ukiendelea nahama.