Mhafidhina JF-Expert Member Feb 6, 2008 549 22 Jan 30, 2011 #1 Cheki staili ya mgomo...! Nakumbuka staili kama hii ilitumika na wazee wa madai ya afrika mashariki...! Kivumbi cha FFU walikiona...!
Cheki staili ya mgomo...! Nakumbuka staili kama hii ilitumika na wazee wa madai ya afrika mashariki...! Kivumbi cha FFU walikiona...!
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Jan 30, 2011 #2 Duh mie nilidhani wame rest in peace lol
Z Zuh Member Jan 25, 2011 6 0 Jan 30, 2011 #3 Ebwana stail ya ukweli! nimeipenda km vipi 2kigoma iwe hivyo
Tidito L Member Jan 23, 2011 97 16 Jan 30, 2011 #5 Du! Hiyo kali,kama we mwajiri itabidi uwabembeleze tu!hmn ujanja. Ila uku kwetu mkifanya hvy,police walivyo washenzi watawamwagia maji ya kuwasha.
Du! Hiyo kali,kama we mwajiri itabidi uwabembeleze tu!hmn ujanja. Ila uku kwetu mkifanya hvy,police walivyo washenzi watawamwagia maji ya kuwasha.
tzjamani JF-Expert Member Oct 9, 2010 995 30 Jan 30, 2011 #6 Maria Roza said: Duh mie nilidhani wame rest in peace lol Click to expand... Banned Mama mbona uko katika hali hiii? kunani?
Maria Roza said: Duh mie nilidhani wame rest in peace lol Click to expand... Banned Mama mbona uko katika hali hiii? kunani?
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Feb 1, 2011 #9 hizo mbwembwe tu watokee ffu waone moto wake?!!!?!?!