Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 551
[/LEFT]
Kwa hiyo ni probability, usipokumbuka utamu imekula kwake?
Hizi sheria zenu kwa kweli kama watu wangekuwa wanajichagulia gender wakati wa kuzaliwa, hakuna mtu angekubali kuzaliwa mwanamke. Yaani suala ni kusubiri apate siku zake na wewe kwa akili yako unaona hiyo ndio sababu na sio ni kuhakikisha hana mimba? Hata logic huna, eti ili ukumbuke utamu.
Kwa hiyo ukiwa mwanaume basi wewe una haki ya kuacha, ukitaka kurudi unaamrisha tena anakuletea, leo unalala huku unakula paja yeye anaumia kwa hisia mlango wa tatu, mweh!
Ooops!