Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,343
Kuna watu ambao wako upande fulani (private/government division) na kwenye mitandao hupenda sana kuponda upande mwingine. Hivi kule SAUT wako kuchukua ada tu. After all ada yao haipitani sana na inayolipwa vyuo vya serikali kama UDSM na hawapati ruzuku yeyote from government. Hivyo lazima wachukue fees zinazotosha kuendesha chuo. Kuna supplementary exams kama kama vyuo vingine.Hivi hiki chuo kinafundishaga nini Jamani? Kuna jamaa wako watano tunapiga nao discussion kwa ajili ya ku sit CPA lakini jamaa ni vilaza kweli yaani wamenizidi GPA mbaliii halafu Vitu vingi vya CPA hawavijui yaani Kila Topic nawapigia hata hivyo ni shida kuelewa sasa Natambua Umuhimu wa Vyuo vya Serikali havipo kwa ajili ya Kuchukua Ada tu....Hawalegezi mtihani hawa watu.......
Mhitimu ana GPA ya 4.4 mfano Somo ambalo linaitwa Management Accounting Now kwenye CPA linaitwa Performance Management ana A lakini hakuna hata anachokiweza sasa nakua najiuliza Waalimu wa St Augustine wanafundisha maneno tuu au kwa sababu calculation zinawashinda kweli! .
Chuo Kina wanafunzi wengi sana lakini kwenye institutional performance za CPA hakipo hata top 10. ni hatari kila siku ni UD, IFM, MZUMBE, AIA,MOCU,UDOM, ARDHI TIA, ZANZIBAR STATE UNIVERSITY, Kuna kachuo ka Ushirika huko moshi kadogo ila ka kitambo Kile ndo huwa Individual prize wanachukua ndo kinachuana na UD, IFM na ARDHI . UD itaendelea kuwa baba big up to UDOM mnafanya vizuri, Mzumbe pia mnajitahidi kwenye Paper za board AIA kama kawa chuo kigumu sana IPA mnawakilisha ipasavyo, IFM mko vizuri kazeni Buti
Did I mention St. Augustine i think no room for Stupid people in CPA!
Hawa jamaa wamesababisha nikichukie hicho chuo kiasi kwamba Watoto wangu na Kizazi Changu hawatasoma hapo halafu kwenye Ma vyeti yao wamesoma Course hadi 12 yote amepata A Wakati jamaa ni vilaza mimi nimesoma course 5 hadi 6 lakini ufaulu wangu uko kwenye GPA ya 3.5 ndiyo nawafundisha hawa jamaa wenye FIRST CLASS za Kikuda.
Halafu chuo hakina Discontinuation Ukifeli unarudia mpaka maisha yako yote hiki kinanipa Jeuri kwenda kumpeleka house girl wangu akasome kwani chuo hakina changakoto kabisa!
Watoto wangu kama nataka wawe wacheza sinema za Ngono nitawapeleka St. Augustine ila kama nataka wawe wasomi nitawapeleka Vyuo vingine.
Maneno mengi lakini sijaona evidence yoyote. Kama kweli nia ni kuwatahadharisha wengine inabidi uweke data ya kueleweka-otherwise unachanganya watu bila kuwasaidia. Kwa mfano ukiweka failure rates zao kwenye hiyo CPA ingesaidia. Blanket statements ni vitu vya kuepuka. Hapo kwenye nyekundu haionyeshi mtu anae toa tahadhari bali mtu anae taka kudhalilisha wengine.
Nitashukuru kupata evidence kwamba kule ukifeli unarudia bila kuwa na termination, na unarudiaje.