coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 4,347
- 4,336
Mtu anajua wastani wa mtanzania kuishi ni miaka 55 halafu anasema ukifikisha miaka 60 ndio uje uchukue mafao yako, sina maana kua watz wote wanakufa beyond 55 yrs ila......
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app