Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Hatunywi sumu Hatujinyoongi


Wacha waisome nambaaaeee



Wacha waisome nambaaaeee



Ukitaja SSRA what comes in mind first ni muuza sura flani aliyechomekwa pale miaka hiyo na ambaye pamoja na kua ni msomi ila anachofanya sikijui zaidi ya sisi kumhudumia kwa pesa zetu.
Wana nipa kichefuchefu hawa nssfYaani tumfanyie kazi Irene Kisaka? No no no no. Ingawa ni mzuri kwa sura nasikitika kusema I hate her!! .... Sioni kazi ya SSRA! Nilitegemea Magufuli angeifuta mamlaka hii lakini wapi. Serikali inayotaka kusimama kwa kuiba fedha za wanyonge ni Serikali inayojitakia làana. Wangesema tu kwamba wanachokata nssf ni kodi na sio akiba ya mfanyakazi. Je Utawala huu una mpango wa kuua watu wake ili ijichukulie fedha za NSSF nk kiulani?
Acheni ujinga bwana mtu akiacha kazi alipwe fedha zake zote. Hizo zingine porojo tu. Shame on you... Mbona nyie wabunge kama Jenister Mhagama mkimaliza muda wa miaka mitano bungeni mnachukua mamilioni yenu faster....
Hawa wenye laki moja bado mnataka kuwasumbua... You are monsters/ nyambuda...
Eti selekale ya wanyonge... Shitiholu
uhuni......
Ilaaniwe SSRA kwa kubariki wizi mzitoUchawi
Hatuna ujanja zaidi ya kutulia tu da a ituingie, from now on tumeanza kuijua nguvu ya kura moja tuliyoipuuza mwaka 2015!
!
Walipowaambia Mtaishi Kama Mashetani Mlijua Utani? Maamae