Mkuu pamoja na hao uliowataja, ni vyema pia ukaangalia amebadilisha mara ngapiMfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi
Mheshimiwa Rais hili linatishia uslama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.
Orodha si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.
Asilimia 98% na watu kuny'atuka ni hatari kwa usalama wa kidemokrasia.
Kuna watu wa kujiuliza sio huyo kilaza uliye mtajaMfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi
Mheshimiwa Rais hili linatishia uslama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.
Orodha si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.
Asilimia 98% na watu kuny'atuka ni hatari kwa usalama wa kidemokrasia.
Duh....... aibu naona mie wallah, yani ccm.imegeuka kama simba siku hizi, msimu mmoja makocha nane (8) team inaenda kufaa hii.Mkuu pamoja na hao uliowataja, ni vyema pia ukaangalia amebadilisha mara ngapi
1. Wakurugenzi wa TISS
2. Nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM pamoja na sekretarieti yake?
3. Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi
4. N.k, n.k,
Huyu kiazi katuvurugia sana nchi yetu
Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae
Tulia the same
Majaliwa the same
Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata
Ndugai Mungu kampenda zaidi
Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake
Tanzania is there to stay and Samia ni President
Okay, tukubaliane kuhusu Tulia na Majaliwa kwamba muda wao uliisha. Vipi kuhusu yeye muda wake haukuisha?? Na Mpango hivi aliingia au alikuwa na muda gani kwa nafasi ya Umakamu??
At the end of the day, the King (soma the Queen) and Pawn will go into the same box.
Hicho chama ni kama genge la khanga moko au baikoko... Kadri wanavozidi kulewa ndivyo wanavochanganyikiwa!Sasa kama ni maslahi kwanini wasitulie abaki huyo kisha nyuma ya panzia wale kwa kujimwaga why wanangoana ngoana hovyo, yani ccm wamegeuka samaki walakulana wao kwa wao, kila siku mtu anaachia ngazi why.........?
Ukute na wewe ni s.hoga.Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae
Tulia the same
Majaliwa the same
Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata
Ndugai Mungu kampenda zaidi
Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake
Tanzania is there to stay and Samia ni President
Swali ni why, Kwenye muhula wa rais mmoja....?
Unajifanya unaijua nchi kumbe hujui cbochote. Ni kwa vile hujui kuwa mwisho wa CCM umewadia.Mtasubiri sana
CCM ni master wa hizo calculations
We hujiulizi kwanini chama cha mapinduzi kinaitwa kidumu??
Matatizo yanapozidi mtoto wa kiume usiishie tuh kula ndumu
Ukute na wewe ni s.hoga.
Unajifanya unaijua nchi kumbe hujui cbochote. Ni kwa vile hujui kuwa mwisho wa CCM umewadia.
Aibu utaona ww, subiri kuchambwa siku ya huapisho
una uhakika anao uwezo wa kutafakari?Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako.
1. tulia
2. ndugai
3.majaliwa
4. mpango
5. polepole
6. Nchimbi
Mheshimiwa Rais hili linatishia usalama wa kidemokrasia wa taifa letu na kuchochea maswali ya kwanini viongozi wengi wanajiweka kando na uongozi wako.? Pia heshima ya taifa letu uthoofika kutokana na orodha hii kuongekeza katika muhula wako.
Orodha hii si mwamba wote walijihudhuru bali kuonyesha kwao tu wanaitaji kufanya hivyo udhoofisha usalama wa kidemokrasia wa taifa letu.
Pia swali lingine ni Je, Asilimia 98% zilikuwa za kuokoteza....? na je watu kuny'atuka si hatari kwa usalama wa kidemokrasia ya taifa...?
Nakutakia tafakati ya kina, maana ukijumlisha na mvutano wa jumuiya za kimataifa, kesi za uhaini, yaliyotokea tarehe 29 october na siku zilizofuata, n.k naona unapaswa kutafakari na kupata utulivu wa kiakili, n.b Sikiliza ushauri wa wanaokuzunguuka vizuri.
Nawasilisha.
Nchimbi kwa hiari yake??Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae
Tulia the same
Majaliwa the same
Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata
Ndugai Mungu kampenda zaidi
Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake
Tanzania is there to stay and Samia ni President
Nchimbi kwa hiari??Mpango muda wake uliisha siyo lazima kuendelea nae
Tulia the same
Majaliwa the same
Pole Pole snitch alichokitafuta amekipata
Ndugai Mungu kampenda zaidi
Nchimbi kaondoka kwa hiyari yake
Tanzania is there to stay and Samia ni President
Inauma sana ila ndo washataka iwe hivyo sasaNchimbi kwa hiari yake??
Nchimbi kwa hiari??View attachment 3656746
Chanzo cha yote kilianzia kwa Jiwe, ila huyu kiazi yeye kaenda mbali zaidi!.Kuliko yule Jiwe ambae aliua moja kwa moja demokrasia na kupiga Risasi wapinzani??
Au kwa kuwa ni Mmisheni mwenzako.?
Chanzo cha yote kilianzia kwa Jiwe, ila huyu kiazi yeye kaenda mbali zaidi!.
Kuna wahuni wana take advantage ya ukiazi wake kwa maslahi yao binafsi.