barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
A traitor deserved this! Former Russian spy alegedly working fo M16??? WTF was he expecting?? DEATH, by any means!!
Hili tukio ni tukio lililopangwa kwa ustadi mkubwa sana hata hiyo team ya inquary haijaweza kuja na data za maana zenye kuweza kuwafunga washukiwa.Hao jamaa wa KGB/FSB waliwezaje kuingia UK na hiyo radioactive material? Ina maana airport za UK ni nyepesi hivyo kuwa infiltrated?
Alikuwa vocal sana kiasi cha kuhisiwa kuwa ataenda kugombea urais huko RussiaA traitor deserved this! Former Russian spy alegedly working fo M16??? WTF was he expecting?? DEATH, by any means!!
Huyu jamaa anashangaa covert operations za taifa ndan ya taifa,hata isil wanafanya covert operations na wanafanikiwa,hii inshu hahitak uwe professional spies,bal binadam yoyote akiweka dhamira ya kufanya jambo,akajipa muda na dedication lazma afanikiwe,intelligence operations znakuwa affected na human error, huwez kuzuia human error at 100%,that's why hata tz ikiamua inaweza kupenya USA na kufanya operations, kumbuka even Rwanda huwa anafanya yake mpaka ulaya
Si ndio hapo mkuu, cha kuchekesha zaidi majasusi wa Kirusi wanao husishwa na kashfa ya kumuwekea Litvinenko sumu ya polonium mbona wote wangali ahi? Waingereza si watu wa kuamini sana - hawataki kuwa wakweli hapa, msemaji wa Serikali ya Urusi amesema kuna baadhi ya raia wa Urusi waliwahi kufa vifo vyenye utata huko Uingereza mbona Waingereza hawavikutolea ufafanuzi?Kwani polonium haipatikani uingereza mpaka watoke nayo russia?