1. Kuna meza yenye tishu/hakuna meza yenye tishu
2. Mwanamke ana bangili/ hana bangili
3. Mfuko uliopo kwenye miguu ya mwanamke una "v "nyingi/ mfuko una "v" chache
4. Miguu yote ya mwanaume inaonekana/ mguu mmoja tu ndio unao onekana
5. Mfuko wa mwanaume una vidotidoti vingi vyeupe/ una vidot vichache