Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Binafsi ni shabiki mkubwa wa michezo hususani mpira wa miguu. Ninasikitishwa sana na hawa ndugu zetu wa Clouds tv kupiti kipindi chao cha Sport Bar kinachorushwa kila J3 saa 4 usiku. Mara nyingi huwa kipindi hakirushwi bila maelezo yoyote kwa watazamaji wao.
Kama mmeshindwa kurusha live basi kipindi kiwe ni korekodi maana sioni sababu yoyote ya kipindi hicho kuwa live wakati hakuna michango yoyote ya watazamaji kupiga simu. Vilevile muda wa saa 4 sio mzuri kama mnaweza mkiweke kuanzia saa 3usiku. Kwakweli mnatuboa sana kwa kutupotezea muda wetu.
Kama mmeshindwa kurusha live basi kipindi kiwe ni korekodi maana sioni sababu yoyote ya kipindi hicho kuwa live wakati hakuna michango yoyote ya watazamaji kupiga simu. Vilevile muda wa saa 4 sio mzuri kama mnaweza mkiweke kuanzia saa 3usiku. Kwakweli mnatuboa sana kwa kutupotezea muda wetu.