Katika viongozi wachache WAADILIFU ambao nchi hii imebakiza basi ni pamoja na huyu Mama Liana Spora.
Lakini kwa kuwa RUSHWA ni mfumo wa kitaasisi unaolindwa na serikali ya CCM I'm afraid she is fighting losing war.
Mamalaka inayotakiwa kumuwajibisha huyo RC wa Arusha aliyeomba RUSHWA ya TShs. 100 milioni, ndiyo kinara wa rushwa (kesi ya ngendere kula mahindi kumpelekea tumbili).
The writting is already on the wall, finally mama Liana Spora atakufukuzwa kazi na huyo RC aliyeomba rushwa atatanukiwa cheo! Yangu macho!
Tumbili akija kuulizwa utamsikia anangoja sekretarieti ya maadili ichukue hatua kwa kuwa yeye hana mamlaka ya kuingilia utaratibu wa sekretarieti! Hii nchi inaharibiwa na tuliowapa dhamana ya kuilinda