Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,514
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho sponsor's wanavyowanyima uhuru wadada.
Kama kuna kitu ambacho wadada wanakipatapata hasa wale wanaopenda kudanga na masponsors basi kukosa uhuru.
Wanachungwa kama kondoo, yaani hawawezi kujiachia na kufurahia uhuru wa maisha yao kabisa.
Hawaruhusiwi kuwa karibu na wanaume wengine, yaani wakionekana wananyanyaswa .
Wanatishiwa kuwa watanyang'anywa vitu kama magari, hata biashara zao kufungwa na kutishiwa kuharibiwa maisha.
Kifupi wadada wanaodanga na masponsors wengi wao ni kama wafungwa yaani wapo jela ndogo.
Kwanza wamewekewa GPS Kila Kona wanaonekana, yaani ni kama wamevaa ila Bado wanaonekana utupu.
Ninavyoandika hapa kuna dada mmoja analia hapa kadakwa na kijana barubaru, yaani duka linafungwa.
Kama masihara na gari amenyang'anywa hapa na ameambiwa asiende kwenye nyumba aliyopangishiwa.
Kwakweli ni hatari, wadada wanaotegemea masponsors ni kama watumwa...
Ngoja niendelee kuona dada anavyovuliwa wigi hapa hahahaaa...
Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho sponsor's wanavyowanyima uhuru wadada.
Kama kuna kitu ambacho wadada wanakipatapata hasa wale wanaopenda kudanga na masponsors basi kukosa uhuru.
Wanachungwa kama kondoo, yaani hawawezi kujiachia na kufurahia uhuru wa maisha yao kabisa.
Hawaruhusiwi kuwa karibu na wanaume wengine, yaani wakionekana wananyanyaswa .
Wanatishiwa kuwa watanyang'anywa vitu kama magari, hata biashara zao kufungwa na kutishiwa kuharibiwa maisha.
Kifupi wadada wanaodanga na masponsors wengi wao ni kama wafungwa yaani wapo jela ndogo.
Kwanza wamewekewa GPS Kila Kona wanaonekana, yaani ni kama wamevaa ila Bado wanaonekana utupu.
Ninavyoandika hapa kuna dada mmoja analia hapa kadakwa na kijana barubaru, yaani duka linafungwa.
Kama masihara na gari amenyang'anywa hapa na ameambiwa asiende kwenye nyumba aliyopangishiwa.
Kwakweli ni hatari, wadada wanaotegemea masponsors ni kama watumwa...
Ngoja niendelee kuona dada anavyovuliwa wigi hapa hahahaaa...