Spika wa Bunge la Marekani atua Ukraine na aapa US kuisaidia Ukraine mpaka vita itakapoisha

Kuna taarifa moja ilionesha askari wa marekani walioko poland wanaangalia mwenendo wote wa vita inayoendelea ndani ya ukraine. Hapa ngoja tuone nani bingwa wa propaganda na hujuma maana beberu ameamua ku battle na Russia. Howtzer pieces inashushwa huko , maana yake vikosi vya Russia vitaanza kupigwa ni mizinga ya marekani, under this section super power ataonekana japo mmoja ameshatishia kunya
Kaka hizo howitzer hatariiii
 
Kuna taarifa moja ilionesha askari wa marekani walioko poland wanaangalia mwenendo wote wa vita inayoendelea ndani ya ukraine. Hapa ngoja tuone nani bingwa wa propaganda na hujuma maana beberu ameamua ku battle na Russia. Howtzer pieces inashushwa huko , maana yake vikosi vya Russia vitaanza kupigwa ni mizinga ya marekani, under this section super power ataonekana japo mmoja ameshatishia kunya
Napenda sana wabongo walivyo wajuaji kuliko hata NATO
 
Uko sahih mkuu hap no fly zone inahusika angalia viongozi ote wakubwa walotembelea hap na kujidai bla hofu yeyt
... viongozi wakitembelea Kyiv anga lote linakuwa under full control; vyombo vya warusi vinaona maruweruwe; hata direction ya Kyiv vinaipoteza.
 
Uko sahih mkuu hap no fly zone inahusika angalia viongozi ote wakubwa walotembelea hap na kujidai bla hofu yeyt
... kila kitu kiko under control directly from Pentagon. Wakati President Biden akitangaza kupeleka vifaa vya kudungulia ndege Ukraine pembeni yake alikuwa kasimama Chairman of the Chiefs of Joint Staff General Mark Milley nikajua ohoo hii shughuli sio ya kitoto kama tulivyodhania imekuwa ya kikubwa sasa.
 
Marekani haipendi kabisa Umoja wa Ulaya (EU) na ndio sababu mara kadhaa anatumia Uingereza kuidhoofisha kwa kuwashawishi wasitumie sarafu moja, isitumike policy moja ya masoko na Ajira n.k

Sikubaliani na hivi observation yako ,mbona Marekani wamewaunga mkono sana hawa EU hasa wakati wa utawala wa Democrats!! Kumbukwa wakati wa Obama Serikali ya Marekani ilikuwa inapinga wazo la UK kujitoa kwenye umoja wa Ulaya!!
 
kasome marshal plan ya US baada ya second world wat utanielewa
Sikubaliani na hivi observation yako ,mbona Marekani wamewaunga mkono sana hawa EU hasa wakati wa utawala wa Democrats!! Kumbukwa wakati wa Obama Serikali ya Marekani ilikuwa inapinga wazo la UK kujitoa kwenye umoja wa Ulaya!!
 
Kabisa mkuu yaan tuseme hio Kiev iko under full control ya Pentagon ndo maan viongozi ote wakubwa wanaend bla hofu kbx
... kila kitu kiko under control directly from Pentagon. Wakati President Biden akitangaza kupeleka vifaa vya kudungulia ndege Ukraine pembeni yake alikuwa kasimama Chairman of the Chiefs of Joint Staff General Mark Milley nikajua ohoo hii shughuli sio ya kitoto kama tulivyodhania imekuwa ya kikubwa sasa.
 
Back
Top Bottom