Alpha Malima
Member
- May 24, 2011
- 84
- 89
Siasa bhana inanifanya nifurahi sana hvi tumekaa hapa tukitegemea kua maswali hayo yote na hoja zilizoibuliwa kwamba kuna mtu atakuja kukjibu na wala haitobadikisha hali halisi ya kua nyarandu hayupo tena ccm cha msingi ni kwamba wanaccm wenyewe waombe kupata taarfa sahihi juu ya nini kilichotokea kupelekea razaro kung'atuka chamani hizi blah blah tunazopiga mtandaoni inawezekana zikakosa mtu wa kujibu
Ila jf naipenda sana hiki ni kisima cha maarifa kwa hakika kila kitu utapata humu
Ila jf naipenda sana hiki ni kisima cha maarifa kwa hakika kila kitu utapata humu