Spika tusaidie kujua CCM ilifanya vikao lini kumfukuza Nyalandu

Waulize CCM wenyewe. Spika atajuaje? Ninachodhani ndiyo kilitokea ni kwamba Nyalandu alinusanusa, akatonywa na mamluki waliomo CCM kuwa kafukuzwa CCM. Ofkozi kwa kuwalipa chochotekitu, ila ni akili majinuni inayokimbilia Press Conference kabla hujaaga rasmi. Mwadilifu angejiuzulu kwanza, akaandika barua rasmi, akakaa wiki walau mbili tatu, halafu ndiyo uitishe Press. Why did he kurupuka?

Naamini kabisa alitonywa na wanoko, wakamlia hela yake, akaona bora ajibaraguze eti kajiuzulu kumbe si lolote si chochote, kafukuzwa. Sasa anatembea huku kavaa kofia ya mfukuzwa. Itabidi akabizi mali ya Chama kwanza. Jamaa wa CHADEMA kama wana akili wasimpokee kichwa kichwa, watawajibik kwa wale twiga na fisi anaodaiwa mitandaoni waliibwa kwa ruhusa ya Nyalandu wapelekwe Ukraine.

Hao twiga na fisi waliibwa juzi alivyojitoa ccm? Simtetei Nyalandu ila ccm kinaendesha siasa za kishamba sana, mnachukua hatua mtu akiondoka , mlikuwa wapi wakati mnasema mahakama ya mafisadi haina wateja? Si bure kutumia pipe ndio imekuwa njia bora ya kujibu hoja.
 
Simple......katoka huku kaenda kule,tabu iko wapi.
Watoto zaidi ya miaka miwili au mitatu siyo vizuri kulala chumba kimoja na wazazi wao,wahamie chumba kingine.
Madaktari hawatibu kifo,bali wanatibu maradhi
 
Amenukuliwa PolePole akitamka kwa niaba ya CCM kuwa Ndugu Nyalandu amejivua nafasi zake na uanachama mwenyewe kwa kushindwa kasi ya JPM. Akipingana na kauli hiyo, Spika katika barua yake akikisemea chama cha CCM anakiri kupokea barua ya chama ikimuarifu kumvua uanachama Ndugu Nyalandu.

Kwa bahati nzuri ubayana huo wa matamko umetufanya tukumbuke misimamo ya CCM kupitia Ndugu Polepole kuhusu kufuata taratibu hasa vikao halali vya chama. Mwenendo huu unanipa binafsi mashaka na nina imani Spika anaweza kuwa na siri nyingi za CCM, sina shaka anazo taarifa za lini CCM walikaa kikao kumvua Ndugu Nyalandu uanachama.

Kwa kuwa si suala la chama tena na kwa mujibu wa barua ya Spika ni dhahiri kuwa suala la mahusiano ya wabunge ni la Bunge ningefurahi uwazi aliouonesha Spika uendelee kuwa bayana katika kuarifu tarehe na ni kikao gani kilichofanya maamuzi hayo.

Sina mashaka kuwa CCM ilifanya maamuzi kupitia vikao halali ikiwa barua ya Spika ni barua halali. Sina shaka wajumbe wa vikao hivyo wote walihudhuria kikao husika. Sina shaka kikao hicho kilifanyikia ndani ya Nchi. Sina shaka barua ya kuvuliwa uanachama na nafasi za Ndugu Nyalandu alizokuwa akishika ndani ya chama alikabidhiwa na chama.

Mashaka yangu yatabaki kuwa mashaka ikiwa utaratibu wa kuvua watu uanachama utatiliwa shaka na wasio na mashaka ndani ya CCM.
Kwani nyalandu si umetangaza kuhama ssm vikao vya nini tena unataka? Baadhi ya watanzania bwana mtu katangaza magazetini kuwa hamtaki mmewe mmewe akitangaza kuwa huyu si mke wangu tena mnamdai talaka kutoka mahakamani.
 
Mheshimiwa Spika!

Nilivyoiona hii barua mtandaoni majira ya mchana, niliiacha nikidhani imetengenezwa tu, nikashtuka zaidi kuisikia kwenye vyombo vya habari, nikakubali kumbe ni kweli imetoka ofisi ya Spika wa Bunge letu Tukufu!

Ukiisoma hii barua, Mheshimiwa Spika anatuaminisha kuwa alipokea barua tarehe 30/10/2017 toka kwa Katibu Mkuu ccm kuhusu kumuondolea uanachama wake Mbunge wa Singida Kaskazini Mheshimiwa Lazaro Nyalandu, kwahiyo tuamini Mheshimiwa Lazaro Nyalandu amefukuzwa ccm na sio kwamba amejiondoa mwenyewe!!!

Mheshimiwa sana Spika, kabla ya hii barua alitakiwa akumbuke huu ni wakati wa teknolojia na kila neno linabaki kwa rekodi.

Siku Mheshimiwa Lazaro Nyalandu anatangaza Rasmi kujitoa ccm, vyombo vyote vya habari vikiwamo vya ccm vilitangaza taarifa yake na sababu zake alizozitoa na kueleza amemuandikia barua Spika na Katibu Mkuu ccm kujiuzulu nafasi zake zote.

Spika alihojiwa na vyombo vya habari akasema hajapata barua na kumtaka aharakishe kumpatia hiyo barua, hakueleza kama amepokea barua ya ccm kumfukuza Mheshimiwa Nyalandu.

Katibu Mwenezi wa ccm nae alihojiwa akisema Mheshimiwa Lazaro Nyalandu ‘ametoka ccm mwenyewe kama walivyotoka wengine kabla.’

Hii barua inatuaminisha Katibu Mkuu wa ccm ana mamlaka ya kumtimua uanachama mwanachama wa ccm, sijui ndio Katiba yao inavyoeleza?! Kama ndio hivyo, basi ccm hakuna Demokrasia na bora wanachama wake waondoke tu!

Mheshimiwa Spika, tumesoma barua yako, Asante sana kwa taarifa yako, lakini naomba utambue Rais Mstaafu Mheshimiwa JK alituasa, Akili za kuambiwa, changanya na zako!
 
Ni yeye ndugai akili yake aliiacha India mwenye matibabu amerudi huku pale Lumumba ndio wamemaliza kila kitu
 
Bunge la Tanzania haliwezi TENA kurudi kwenye viwango/status iliyokuwa nayo hata kwa kiasi cha ROBO cha wakati wa Mama Anna Makinda kwa sababu ya tatizo moja kubwa..
Nalo ni JOB NDUGAI.
 
Mheshimiwa Spika!
Nilivyoiona hii barua mtandaoni majira ya mchana, niliiacha nikidhani imetengenezwa tu, nikashtuka zaidi kuisikia kwenye vyombo vya habari, nikakubali kumbe ni kweli imetoka ofisi ya Spika wa Bunge letu Tukufu!
Ukiisoma hii barua, Mheshimiwa Spika anatuaminisha kuwa alipokea barua tarehe 30/10/2017 toka kwa Katibu Mkuu ccm kuhusu kumuondolea uanachama wake Mbunge wa Singida Kaskazini Mheshimiwa Lazaro Nyalandu, kwahiyo tuamini Mheshimiwa Lazaro Nyalandu amefukuzwa ccm na sio kwamba amejiondoa mwenyewe!!!
Mheshimiwa sana Spika, kabla ya hii barua alitakiwa akumbuke huu ni wakati wa teknolojia na kila neno linabaki kwa rekodi.
Siku Mheshimiwa Lazaro Nyalandu anatangaza Rasmi kujitoa ccm, vyombo vyote vya habari vikiwamo vya ccm vilitangaza taarifa yake na sababu zake alizozitoa na kueleza amemuandikia barua Spika na Katibu Mkuu ccm kujiuzulu nafasi zake zote.
Spika alihojiwa na vyombo vya habari akasema hajapata barua na kumtaka aharakishe kumpatia hiyo barua, hakueleza kama amepokea barua ya ccm kumfukuza Mheshimiwa Nyalandu.

Katibu Mwenezi wa ccm nae alihojiwa akisema Mheshimiwa Lazaro Nyalandu ‘ametoka ccm mwenyewe kama walivyotoka wengine kabla.’

Hii barua inatuaminisha Katibu Mkuu wa ccm ana mamlaka ya kumtimua uanachama mwanachama wa ccm, sijui ndio Katiba yao inavyoeleza?! Kama ndio hivyo, basi ccm hakuna Demokrasia na bora wanachama wake waondoke tu!

Mheshimiwa Spika, tumesoma barua yako, Asante sana kwa taarifa yako, lakini naomba utambue Rais Mstaafu Mheshimiwa JK alituasa, Akili za kuambiwa, changanya na zako!

Anafikiria ni enzi za ZIDUMU FIKRA za MWENYEKITI.
 
Amenukuliwa PolePole akitamka kwa niaba ya CCM kuwa Ndugu Nyalandu amejivua nafasi zake na uanachama mwenyewe kwa kushindwa kasi ya JPM. Akipingana na kauli hiyo, Spika katika barua yake akikisemea chama cha CCM anakiri kupokea barua ya chama ikimuarifu kumvua uanachama Ndugu Nyalandu.

Kwa bahati nzuri ubayana huo wa matamko umetufanya tukumbuke misimamo ya CCM kupitia Ndugu Polepole kuhusu kufuata taratibu hasa vikao halali vya chama. Mwenendo huu unanipa binafsi mashaka na nina imani Spika anaweza kuwa na siri nyingi za CCM, sina shaka anazo taarifa za lini CCM walikaa kikao kumvua Ndugu Nyalandu uanachama.

Kwa kuwa si suala la chama tena na kwa mujibu wa barua ya Spika ni dhahiri kuwa suala la mahusiano ya wabunge ni la Bunge ningefurahi uwazi aliouonesha Spika uendelee kuwa bayana katika kuarifu tarehe na ni kikao gani kilichofanya maamuzi hayo.

Sina mashaka kuwa CCM ilifanya maamuzi kupitia vikao halali ikiwa barua ya Spika ni barua halali. Sina shaka wajumbe wa vikao hivyo wote walihudhuria kikao husika. Sina shaka kikao hicho kilifanyikia ndani ya Nchi. Sina shaka barua ya kuvuliwa uanachama na nafasi za Ndugu Nyalandu alizokuwa akishika ndani ya chama alikabidhiwa na chama.

Mashaka yangu yatabaki kuwa mashaka ikiwa utaratibu wa kuvua watu uanachama utatiliwa shaka na wasio na mashaka ndani ya CCM.
Ndugai ni Msukule wa Maduduli.
 
Hivi magufuli alisema tumewafukuza wakaenda chadema au wameondoka wamekimbilia chadema
 
Amenukuliwa PolePole akitamka kwa niaba ya CCM kuwa Ndugu Nyalandu amejivua nafasi zake na uanachama mwenyewe kwa kushindwa kasi ya JPM. Akipingana na kauli hiyo, Spika katika barua yake akikisemea chama cha CCM anakiri kupokea barua ya chama ikimuarifu kumvua uanachama Ndugu Nyalandu.

Kwa bahati nzuri ubayana huo wa matamko umetufanya tukumbuke misimamo ya CCM kupitia Ndugu Polepole kuhusu kufuata taratibu hasa vikao halali vya chama. Mwenendo huu unanipa binafsi mashaka na nina imani Spika anaweza kuwa na siri nyingi za CCM, sina shaka anazo taarifa za lini CCM walikaa kikao kumvua Ndugu Nyalandu uanachama.

Kwa kuwa si suala la chama tena na kwa mujibu wa barua ya Spika ni dhahiri kuwa suala la mahusiano ya wabunge ni la Bunge ningefurahi uwazi aliouonesha Spika uendelee kuwa bayana katika kuarifu tarehe na ni kikao gani kilichofanya maamuzi hayo.

Sina mashaka kuwa CCM ilifanya maamuzi kupitia vikao halali ikiwa barua ya Spika ni barua halali. Sina shaka wajumbe wa vikao hivyo wote walihudhuria kikao husika. Sina shaka kikao hicho kilifanyikia ndani ya Nchi. Sina shaka barua ya kuvuliwa uanachama na nafasi za Ndugu Nyalandu alizokuwa akishika ndani ya chama alikabidhiwa na chama.

Mashaka yangu yatabaki kuwa mashaka ikiwa utaratibu wa kuvua watu uanachama utatiliwa shaka na wasio na mashaka ndani ya CCM.
Polepole alisema siku Nyalandu alipojitoa CCM kuwa Spika ni mshauri wa CCM kuhusu wabunge wake, hivyo spika asingeishughulikia barua ya Nyalandu kabla ya kukubaliana na chama chake baada ya kukijulisha nia ya Nyalandu.
 
MKANGANYIKO KUJIUZULU NYALANDU

Amenukuliwa PolePole akitamka kwa niaba ya CCM kuwa Ndugu Nyalandu amejivua nafasi zake na uanachama mwenyewe kwa kushindwa kasi ya JPM. Akipingana na kauli hiyo, Spika katika barua yake akikisemea chama cha CCM anakiri kupokea barua ya chama ikimuarifu kumvua uanachama Ndugu Nyalandu.

Kwa bahati nzuri ubayana huo wa matamko umetufanya tukumbuke misimamo ya CCM kupitia Ndugu Polepole kuhusu kufuata taratibu hasa vikao halali vya chama. Mwenendo huu unanipa binafsi mashaka na nina imani Spika anaweza kuwa na siri nyingi za CCM, sina shaka anazo taarifa za lini CCM walikaa kikao kumvua Ndugu Nyalandu uanachama.

Kwa kuwa si suala la chama tena na kwa mujibu wa barua ya Spika ni dhahiri kuwa suala la mahusiano ya wabunge ni la Bunge ningefurahi uwazi aliouonesha Spika uendelee kuwa bayana katika kuarifu tarehe na ni kikao gani kilichofanya maamuzi hayo.

Sina mashaka kuwa CCM ilifanya maamuzi kupitia vikao halali ikiwa barua ya Spika ni barua halali. Sina shaka wajumbe wa vikao hivyo wote walihudhuria kikao husika. Sina shaka kikao hicho kilifanyikia ndani ya Nchi. Sina shaka barua ya kuvuliwa uanachama na nafasi za Ndugu Nyalandu alizokuwa akishika ndani ya chama alikabidhiwa na chama.

Mashaka yangu yatabaki kuwa mashaka ikiwa utaratibu wa kuvua watu uanachama utatiliwa shaka na wasio na mashaka ndani ya CCM.
 
Amenukuliwa PolePole akitamka kwa niaba ya CCM kuwa Ndugu Nyalandu amejivua nafasi zake na uanachama mwenyewe kwa kushindwa kasi ya JPM. Akipingana na kauli hiyo, Spika katika barua yake akikisemea chama cha CCM anakiri kupokea barua ya chama ikimuarifu kumvua uanachama Ndugu Nyalandu.

Kwa bahati nzuri ubayana huo wa matamko umetufanya tukumbuke misimamo ya CCM kupitia Ndugu Polepole kuhusu kufuata taratibu hasa vikao halali vya chama. Mwenendo huu unanipa binafsi mashaka na nina imani Spika anaweza kuwa na siri nyingi za CCM, sina shaka anazo taarifa za lini CCM walikaa kikao kumvua Ndugu Nyalandu uanachama.

Kwa kuwa si suala la chama tena na kwa mujibu wa barua ya Spika ni dhahiri kuwa suala la mahusiano ya wabunge ni la Bunge ningefurahi uwazi aliouonesha Spika uendelee kuwa bayana katika kuarifu tarehe na ni kikao gani kilichofanya maamuzi hayo.

Sina mashaka kuwa CCM ilifanya maamuzi kupitia vikao halali ikiwa barua ya Spika ni barua halali. Sina shaka wajumbe wa vikao hivyo wote walihudhuria kikao husika. Sina shaka kikao hicho kilifanyikia ndani ya Nchi. Sina shaka barua ya kuvuliwa uanachama na nafasi za Ndugu Nyalandu alizokuwa akishika ndani ya chama alikabidhiwa na chama.

Mashaka yangu yatabaki kuwa mashaka ikiwa utaratibu wa kuvua watu uanachama utatiliwa shaka na wasio na mashaka ndani ya CCM.
Mdau mwenye akili kutoka fisiemu kuliko huyo Ndugai ameandika hivi, namnukuu:

"Naona kama nguvu kubwa sana inatumika kuhusu huyu nyarandu
Nafikiri kama chama, tunakosea.
Nyalandu anazo issues zake za ovyo nyingi. Tulipaswa kuziattack hizo lakini siyo personality yake
Lakini pia timing yetu siku zote siyo nzuri. Kama serikali tulipaswa tujue move za nyalandu maana alishaonekana mapema. Tangu siku alipoenda Nairobi tulipaswa tuwe na close look on him. Sasa hivi tunaonekana kama ametustukiza. Wapo wengi wa aina yake. Badala tudeal nao sasa hivi, tunasubiri wachomoke tuanze kuandika mikeka mireeeeeefu Juu yao!!!! Timing. Tunatewapa nafasi yakuonewa huruma na wananchi. Mke unaishi naye siku zote halafu akiondoka ndo useme alikuwa kikojozi, watu hawatakuelewa bora ukae kimya.
Isitumike nguvu kubwa kwa nyalandu. Serikali inatakiwa ideal na misala yake aliyoifanya zamani. Tena kimya kimya bila kelele.
Nikiwa form six, niliwahi kukaa na nyalandu siku tulipotembelea bunge kupitia TAYOA (Tanzania youths Alliance). Ukikaa naye, haikuchukui muda kugundua kwamba ni MTU bright sana. Nimjanjamjanja hivi. Hajui siasa za popularity, lakini anajua siasa za kumfanya aonekane mwema!!!
MTU wa hivi unatakiwa udeal naye smartly. Siyo majibu kama haya ya ndugu yangu Lusinde. Haya yanaongeza mjadala kwa jamii badala ya kuuzima.
Nisawa na ile ya bwana Zitto kuhusu analysis yake ya uchumi aliyoifanya halafu unamtuma Mwakibinga akajibu.
Tujipangeni vizuri maana Hawa jamaa wanajipanga Usiku na mchana na taarifa tunazo na hatuzifanyii Kazi. Mambo yakiharibika ndo tunaanza kupiga ramli kama waganga wakienyeji"
 
Back
Top Bottom