johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Spika Dr Tulia amesema wanaofichua maovu kwa njia ya mitandao walindwe badala ya kuwazuia kwani ndivyo inavyofanyika duniani kote
Kama taarifa zinaibua maovu ambayo yanaisaidia Serikal yenyewe ni lazima Watu hao walindwe
Source ITV habari
Kama taarifa zinaibua maovu ambayo yanaisaidia Serikal yenyewe ni lazima Watu hao walindwe
Source ITV habari