Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Spika Job Ndugai amesema kesho Bungeni kutakuwa na uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Waziri wa Wizara hiyo atatolea ufafanuzi suala la kuadimika kwa sukari nchini
Spika Ndugai amewaomba Wabunge kuwa na subira kwani kesho watapata nafasi ya kuchangia na kuzungumzia suala hilo wakati Waziri Japhet Hasunga akiwasilisha hotuba ya Bajeti yake
Spika Ndugai amesema hayo alipokuwa anajibu hoja ya dharura ya Mbunge Ally Saleh, Mbunge wa Malindi aliyekuwa nahitaji ufafanuzi kuhusu kulalamikiwa kwa kupanda kwa bei ya Sukari nchini
Spika Ndugai amewaomba Wabunge kuwa na subira kwani kesho watapata nafasi ya kuchangia na kuzungumzia suala hilo wakati Waziri Japhet Hasunga akiwasilisha hotuba ya Bajeti yake
Spika Ndugai amesema hayo alipokuwa anajibu hoja ya dharura ya Mbunge Ally Saleh, Mbunge wa Malindi aliyekuwa nahitaji ufafanuzi kuhusu kulalamikiwa kwa kupanda kwa bei ya Sukari nchini