Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,363
hakika kwa hili bunge limeungana bila kuonesha tofauti za kiitikadi... ni mfano mzuri wa kuigwa na jamii nzima.. hata huku mitaani wenzetu wanapopatwa na majanga hatupaswi kuchekana na kudharauliana bali kusimama pamoja kwa nguvu moja kama walivyofanya wabunge leo hii.
Mungu awabariki sana wabunge
Mungu awabariki sana wabunge