Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Masikini atazidi kuwa Masikini naye Tajiri Atatajirika zaidi.KUTOKA BUNGENI: Wabunge wamekubaliana kutoa nusu ya posho ya siku 1 kwa ajili ya matibabu ya Mbunge mwenzao Tundu Lissu.
Pia Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Gari la Tundu Lissu ilipigwa kati ya risasi 28 hadi 32 lakini zilizompata Lissu ni tano