Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Kurushiwa risasi 28 na ukapona inaonyesha kuwa Lissu ana Mungu
Wapo,tena wengi sana. Una swali jingine mkuu Jinga?Kwani Muhimbili hakuna madaktari?
Amen.Intention ilikuwa kuua kabisa Mungu tu ndo kaepusha Na hili balaa Na Nina imani Tundu Lissu atapona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia hiyo pesa inatoka katika mfuko wa bunge?Lakini Parliament ni part ya serikali
Bila shakla ni inatokana na idadi ya maganda ya risasi yaliyookotwa. Hii ina maana kwa wastani magazine yote ya smg iliishia kwenye gari la Lisu ili kuongeza uwezekano wa kumwangamiza!Yeye amejuaje idadi za risasi alizolengwa Tundu Lisu?
Chkua taim..mpum*** wewe
Uhakika upi, hujaiona gari?risasi zaidi ya ishirini ila tano tu ndo zimempata. Halafu unikome mimi sio bavicha. Mimi naangalia utu na siyo Chama.Bawacha hebu acheni siasa huu ni muda wa kumuombea apone haraka! Acha maneno usiyo kuwa na uhakika nayo....kama kuandika na kuhoji kila mtu anaweza....
Wa Tanzania kwa kuhusisha matukio hamjambooTundu Lisu got shot on 7th september, the same date as Tupac who died 6 days later after the attack. That was year 1996. We hope Tundu will survive this though..just like Pac survived the first 5 bullets murder attempt of which he claimed that BIG notorious was responsible.
Ndo mambo yetu hayo mkuu