Feminist NdungaiWewe Ndugai, kwani huko ccm hamna wanawake? Alafu inakuwaje spika wa bunge unajiita jingalao?
Maliza maneno yote aliyosema;Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Speaker analipa fadhili ya matibabu ya gharama kubwa India. Ana fanya haramu zote ili wafadhili waitambue serikali hii dhalimu.Spika anajua kanuni na taratibu zote iweje awasaidie kuwaingiza mkenge. Ye ndo amewaharibia
Anaowatetea kimenuka kambini kwai!Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Mkuu unataka nikujibu mm au ?Kwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Ma-trilioni mkuu,siyo yeyeNdungai amekuwa mtetezi wa haki zao kina mama. Mbona maamuzi yenu ya ndani CCM Chadema hawayaingilii. Ni kikao gani cha chama kilimkuta Benard Membe ana hatia?
Unapotoka, akina mdee ni wabunge hadi 2025Spika anajua kanuni na taratibu zote iweje awasaidie kuwaingiza mkenge. Ye ndo amewaharibia
Huwa hufuatilii vizuri vikao vya CCM...Membe alianza kuhukumiwa pamoja na kina EL kipindi hiko.Ndungai amekuwa mtetezi wa haki zao kina mama. Mbona maamuzi yenu ya ndani CCM Chadema hawayaingilii. Ni kikao gani cha chama kilimkuta Benard Membe ana hatia?
Harakati za ma-trilioni hizo mkuuSpika anajua kanuni na taratibu zote iweje awasaidie kuwaingiza mkenge. Ye ndo amewaharibia