Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Acha uongo, Yesu yupi alisema hivyo?! Au unamzungumzia yesu wa lugola?!Yesu alisema dunia ni giza!
Acha uongo, Yesu yupi alisema hivyo?! Au unamzungumzia yesu wa lugola?!Yesu alisema dunia ni giza!
Nazungumzia nidhamu ya Halima James Mdee usichanganye mambo!
Sofia hakufukuzwa kwa wivu, ni Membe aliye fukuzwa kwa wivu!!Tahira wewe! Kwa hiyo na ninyi ccm mlipomfukuza Sofia Simba ilikuwa ni kwasababu ya wivu?
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Hahahaha wakati mwingine akili huwa zinakujia kwa muda mfupi then zinayeyukaNazungumzia nidhamu ya Halima James Mdee usichanganye mambo!
Awakinge kwa sheria ipi?Halima na wenzake wameadhibiwa na Mbowe sababu ya wivu.
Wewe unafikiri kina Mbowe wangepata ubunge wangesusia huo ubunge kisa hawatambui uchguzi?
Tangu enzi za Slaa wanalia kuibiwa lakini hawajawahi kususa kuwa wabunge!
Nasema spika awakinde hao kina dada.
Nimeipenda hiyo ' tunaweza kujificha lakini Mungu anatuona'.Kuwatetea Halima James Mdee na Esther Bulaya kuhusiana na utovu wa nidhamu ni lazima ujitoe ufahamu kidogo.
Tukitaka kujenga jamii ya watu waadilifu ni lazima tuwe wakweli.
Halima James Mdee mara kadhaa amefukuzwa Bungeni na Spika Ndugai kwa utovu wa nidhamu.
Halima James Mdee amewahi kutupwa rumande kwa saa 48 na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi kwa makosa ya kinidhamu. Mkuu wa Wilaya ni mwakilishi wa Rais Wilayani.
Sasa kama Halima Mdee ameweza kuadhibiwa na Bunge, akaadhibiwa na Serikali, Mahakama pia ilimhukumu kifungo/faini, kwanini inakuwa nongwa akiadhibiwa na chama chake kwa makosa ya aina hiyo hiyo?
Tunaweza kudhani tumejificha lakini Mungu anatuona.
Maendeleo hayana vyama!
Kama unakubali wamevuliwa uanachama, kubali pia si wabunge! Huwezi kuwa mbunge asiye na chama nchi hii! Unless hujui unachoongea na huijui katiba!Kwani shida yenu ni nn?
Uanachama si tayari Mmewavua?
Sasa mbona makelele meeeengi
Au mlitaka na ubunge wakose, then nyie mnapata faida gani?
Hivi unaweza kumwamini mtu kama Spika Ndugai?Kuwatetea Halima James Mdee na Esther Bulaya kuhusiana na utovu wa nidhamu ni lazima ujitoe ufahamu kidogo.
Tukitaka kujenga jamii ya watu waadilifu ni lazima tuwe wakweli.
Halima James Mdee mara kadhaa amefukuzwa Bungeni na Spika Ndugai kwa utovu wa nidhamu.
Halima James Mdee amewahi kutupwa rumande kwa saa 48 na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi kwa makosa ya kinidhamu. Mkuu wa Wilaya ni mwakilishi wa Rais Wilayani.
Sasa kama Halima Mdee ameweza kuadhibiwa na Bunge, akaadhibiwa na Serikali, Mahakama pia ilimhukumu kifungo/faini, kwanini inakuwa nongwa akiadhibiwa na chama chake kwa makosa ya aina hiyo hiyo?
Tunaweza kudhani tumejificha lakini Mungu anatuona.
Maendeleo hayana vyama!
Ww na familia yako unapata faida gani wao wasipokuwa wabunge?Kama unakubali wamevuliwa uanachama, kubali pia si wabunge! Huwezi kuwa mbunge asiye na chama nchi hii! Unless hujui unachoongea na huijui katiba!
Mtu kama huyu hastahili msamaha wa aina yoyote. He must be taken to taskNdugai ni wa kusamehe na kuonewa huruma
Swali la kipumbaaaf....!!!Ww na familia yako unapata faida gani wao wasipokuwa wabunge?
Nenda kafungue kesi mahakamani kama una hojaSwali la kipumbaaaf....!!!
Kama hujui hoja inayoongelewa kaa kimya!!!Tunachotetea hapa ni Katiba na Sheria ya JMT. Full stop.
Kuanzia leo hutoitwa tena binti kiziwi kwa kuwa uliitwa jina hili baada ya kubatizwa kwa maji,nakubatiza kwa moto na kuanzia leo utaitwa binti imara!Tunaanza kuongea lugha moja na wana CCM kindakindaki, waliobaki kushabikia ni wale vichwa box wanaoishi mjini kwa hisani ya kulamba miguu.
Nchi inatengeneza utaratibu mbovu ambao kwa kiasi kikubwa siku za nyuma haukuwepo, Ndungai na Magu ni mabingwa wakulamba matapishi yao wenyewe na wala hawaoni aibu, hawaogopi maana wameshajihakikishia hatuna chakuwafanya, Haya endeleeni kuua upinzani.