johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Kuwatetea Halima James Mdee na Esther Bulaya kuhusiana na utovu wa nidhamu ni lazima ujitoe ufahamu kidogo.
Tukitaka kujenga jamii ya watu waadilifu ni lazima tuwe wakweli.
Halima James Mdee mara kadhaa amefukuzwa Bungeni na Spika Ndugai kwa utovu wa nidhamu.
Halima James Mdee amewahi kutupwa rumande kwa saa 48 na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi kwa makosa ya kinidhamu. Mkuu wa Wilaya ni mwakilishi wa Rais Wilayani.
Sasa kama Halima Mdee ameweza kuadhibiwa na Bunge, akaadhibiwa na Serikali, Mahakama pia ilimhukumu kifungo/faini, kwanini inakuwa nongwa akiadhibiwa na chama chake kwa makosa ya aina hiyo hiyo?
Tunaweza kudhani tumejificha lakini Mungu anatuona.
Maendeleo hayana vyama!
Tukitaka kujenga jamii ya watu waadilifu ni lazima tuwe wakweli.
Halima James Mdee mara kadhaa amefukuzwa Bungeni na Spika Ndugai kwa utovu wa nidhamu.
Halima James Mdee amewahi kutupwa rumande kwa saa 48 na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Happi kwa makosa ya kinidhamu. Mkuu wa Wilaya ni mwakilishi wa Rais Wilayani.
Sasa kama Halima Mdee ameweza kuadhibiwa na Bunge, akaadhibiwa na Serikali, Mahakama pia ilimhukumu kifungo/faini, kwanini inakuwa nongwa akiadhibiwa na chama chake kwa makosa ya aina hiyo hiyo?
Tunaweza kudhani tumejificha lakini Mungu anatuona.
Maendeleo hayana vyama!