Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,772
- 218,393
Upo uvumi kwamba Mrithi wa Sophia Mjema huenda akawa miongoni mwa wale Wabunge wasio na Chama ambao waliapishwa na Ndugai kwenye Gereji ya Bunge.
Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).
Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.
Halima Mdee na Nusrat Hanje wanatajwa kujaza nafasi hiyo (tetesi).
Hutakiwi kupuuza jambo hili , kwa vile ni dhahiri kwamba CCM imeishiwa watu, ndio maana hata Katibu Mkuu wa UVCCM ni miongoni mwa wale waliounga Juhudi wakati wa awamu ya 5.