PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 14,229
- 45,731
Muda si mrefu ataanika ukweli wote....kuna Siri nyingi anazo huyuuu
AhaaqKwanini asijiuzulu ubunge fake ,akajiajiri?
Vijembe kwa msomi ni kupoteza raslimali muda.
Duhh... Mbona codes kali sana.. Tufumbuane machoMtungi.......... Jenister
Kata.... Mchengerwa
nadhani anatamani kufanya hivyo lkn uwezo huo hana...zaidi ya kumfata mhagamaKwanini asijiuzulu ubunge fake ,akajiajiri?
Vijembe kwa msomi ni kupoteza raslimali muda.
bado hicho cheo anacho?Rais wa Mabunge ya Komoniwethi Duniani
Kwani alifutwa?bado hicho cheo anacho?
Msimfatilie anajaribu kututoa kwenye mstari, yeye na wao wana nia mojaAtweke tu uyu Tena apotezwe kabisa
Kwanini asijiuzulu ubunge fake ,akajiajiri?
Vijembe kwa msomi ni kupoteza raslimali muda.
Lakin lain yake haina makato. Hilo kushkuru.we kuwezaMadaraka yalimlevya..
Madaraka matamu sana..
Au utakuwa mwisho wake wa kuongea milele.Kuna siku ataongea