Africa one
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 244
- 111
Spika wa JMT Mh. Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu katika majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lakini matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au ana hasira?
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au ana hasira?