Spika Makinda ama amechoka au ana hasira?

Spika Makinda ama amechoka au ana hasira?

Spika wa JMT mh.Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu ktk majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lkn matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au anahasira?
Ana hasira tangu jana. Bahati mbaya hejui hata kuzificha. Jana alipokuwa akihairisha Bunge jioni alionyesha hasira hizo kwa kauli! Kwa yanayoendelea Bungeni sijui kama yataisaidia CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao! Haya ndiyo yalisemwa na Katibu Mkuu wa CCM huko Mwanza. Ikiwa wana mpango kuwapa adhabu ya kuwafungia hao aliowataja Bungemi kuwa wanafanya fujo bungeni, ili wasihudhurie ndiyo watakuwa wamelikoroga zaidi. Sina hakika kama sheria zitakazotungwa zitaungwa mkono na wananchi na zitaendelea kuitwa ni sheria za CCM!
 
Huyo maza analeta hasira hapo mjengoni anafikiri kuahirisha bunge ndio suluhu anawapotezea watanzania muda wakati wanalipwa kwa kodi zetu .mtakoma subirini muda ufike
 
Spika wa JMT mh.Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu ktk majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lkn matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au anahasira?

Huwezi kujua labda team yake ya urais imebuma...😕😕
 
Spika wa bunge alipaswa awe job ndugai..
 
UKAWA wakomae hadi bunge lifungwe. CCM wanalazimisha miswada kuna kitu nyuma ya haya.
 
Huyu mama sijuw ccm wamefikri mara ngapi kuwa spika, naskia ana kadiploma lakini pia isijekuwa ana stress za kutokuwa na mume

Hata kama ni diploma itakuwa ya umwagiliaji au kufinyanga vyungu... Sio bure mkuu.
 
Dawa ya tatizo hili sugu iko mikononi mwenu raia/wananchi wa Tanzania. Kwa bahati nzuri mtapewa nafasi ya kushughulikia hili miezi mitatu ijayo.

Tujiandikishe kwa wingi wetu na pia kwa wingi huohuo tukapige kura na kuzilinda.

NB: Pia tusiache kuiombea nchi yetu kwa bidii (kila mtu kwa imani yake).
 
Spika wa JMT mh.Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu ktk majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lkn matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au anahasira?

hata unapokaribia maliwatoni haja huongeza presha
 
Nimetafiti sana mwenendomwa huyu mama lakini kisanyansimimethibitika kuwa wanawake wanapofika kwenye menopause huwa wanakuwa na hasira sana na wanapoteza kabisa uwezo wa kufikiri
 
Miswada mitatu kwa hati ua dharura kuna nn hapo?? Huyu mama anazeeka vibaya sasa
 
Kwanini hati za dharura zimekuwa nyingi hivi?, kuna kitu....
 
hizi ndo hasara za kuongozwa mwanamke ambaye hajaolewa yule atakuwa stress za kuliwa siyo bure ukimwangalia kila sekundu na kila dakika anakuwa na hasira .kuna siri kubwa sana kwenye miswada ambayo ccm wanataka kuipitisha kwa nguvu hasa huu muswada wa gesi .nawapongeza sana wabunge wa upinzani kwa msimamo wao 'RAISI ALISHASEMA AMECHOKA ,SPIKA AMECHOKA ,MAWAZIRI WA CCM WAMECHOKA NA WABUNGE WA CCM WAMECHOKA TUNATAKIWA KUWAPUMZISHA RASMI MWAKA HUU
 
Spika wa JMT mh.Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu ktk majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lkn matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au anahasira?

Huyo mama hafai ana pendelea wazi upande waserikali..ndugai atleast yupo balanced.
 
Spika wa JMT mh.Annie Makinda leo naona analiingiza Bunge letu tukufu ktk majaribu moja ya jaribu ni pale Mbunge anapoomba maelezo ya serikali lkn matokeo yake spika yeye anaingia kuhoji wanao kubali waseme ndio na wasiokubali waseme sio.
Kwa utaratibu huu spika wetu ama amechoka au anahasira?
kiukweli mimi ni mgumu sana kuwadharau wanawake , lakini
nimemdharau sana huyu mama ! hakika waanawake hawawezi hata wakiwezeshwa , mtakumbuka huyu mama jinsi alivyopachikwa uspika kwa kigezo cha jinsia .
 
Nimetafiti sana mwenendomwa huyu mama lakini kisanyansimimethibitika kuwa wanawake wanapofika kwenye menopause huwa wanakuwa na hasira sana na wanapoteza kabisa uwezo wa kufikiri

aisee ! sasa kwanini wanaachwa waongoze ?
 
Back
Top Bottom