Spika Makinda achezea Kibano - Bungeni Live!

Spika Makinda ameshindwa kabisa kazi...Masikini Anna!
Anambembeleza Wenje,
Wenje anawithdraw neno Dark Market na kusema White Market.
Mbunge kaomba kutoa hoja, Spika kagoma kasema kutoa hoja
Uchaguzi uendelee.
Ni ubabe ubabe tu kazi anayo mpaka miaka 5 iishe...
 
Anna Makinda anazungumza kwa hasira sana, yuko too emotional, anamshambulia Mbunge Raya, ametangaza kidikteta uchaguzi unaendelea.
Wabunge walia Wenje atoke nje.
Wenje ang'ang'a hafuti, Wabunge wa CCM wataka atoke, upinzani wajibu hatoki mtu.
Bunge Kituko!
Naam sasa ishakuwa kama bunge la Kenya,ni kati PNU na ODM, tuendelee enhe
 
Kumetokea kizaazaa muda c mrefu bungeni katka uchaguzi wa wabunge wa Afrika baada ya kanuni kupindishwa na Mh. Wenje kutoa kauli kuwa kamati iliokaa ilikwenda kinyume na kanuni ambapo wanatakiwa wawe wagombea sita lakini ikaamuliwa kwmba wawe wa3 na kusema hcho kikao kilikuwa ni dark market. Watu aaah kamtukana spika na bunge lake inabd afute kauli,Wenje akakataa, spika akacmama akamuomba AG azungumze, AG akasema sajenti aje amtoe. Zogo likaanza atoki mtu atoki,akiotoka tunatoka wote.ikawa kila mbunge anasema lake. Baadaye nadhani spika akajua hp nitumie akili akamuomba Wenje afute kauli. Wenje akajieleza why aliita ni dark market,watu hawajamuelewa dah ikabdi Wenje afute kauli ili yaishe. Cha ajabu Lukuvi aliposimamishwa aendelee kuzungumza akaomba ile KANUNI ITENGULIWE ILI UCHAGUZI UFANYIKE.Guys CCM wameshauti sn but ni kweli kanuni haikufatwa mpk Lukuvi ameomba itenguliwe uchaguzi uendelee.
 
Mdee nae awaka, amtaka katibu aache kuingiza maneno yake. Katbu Ajitetea bt mdee ambana tena. Kaz ipo
 
Nikimuona Makinda kwenye kiti hamu ya kufuatilia yanayojiri mjengoni huyeyuka. Afadhali ya Ndugai mara mia.
Kama anavinjari kwenye hili jamvi basi namuomba Ana Makinda kwa heshima na taadhima aombe kujiuzulu nafasi hiyo. Hilo litakuwa jambo jema sana amewafanyia watz na historia haitamsahau.
 
Makamb jr atetea wasiojua kiingereza ikiwa ni hoja iloibuliwa na mh mdee kwamba kiingereza should be used internationaly
 
Back
Top Bottom