Mh Lembeli kauliza swali la nyongeza; ripoti ya utoroshaji wa fedha Uswisi itatolewa, maana Watanzania wengi wanaisubiri kwa hamu.
Kabla AG hajajibu Spika Makinda akachomekea,"kwanza hata hawayajui!
Napenda kumjulisha kuwa;
1. Inawezekana Watanzania wengi hawajui lkn ndio maana wamechagua Wabunge wakiamini wana uelewa.
2. Watanzania wa leo sio wa enzi zako ukiwa Waziri kwenye Serikali ya Nyerere.
Kabla AG hajajibu Spika Makinda akachomekea,"kwanza hata hawayajui!
Napenda kumjulisha kuwa;
1. Inawezekana Watanzania wengi hawajui lkn ndio maana wamechagua Wabunge wakiamini wana uelewa.
2. Watanzania wa leo sio wa enzi zako ukiwa Waziri kwenye Serikali ya Nyerere.