Spika Makinda acha kudharau Watanzania

Spika Makinda acha kudharau Watanzania

Anafikiri kila mtu ana upeo mdogo kama yeye!!

Watanzania bana sometimes huwa ninashindwaga kuwaelewaga!!! Si huyu huyu ANA MAKINDA YA NDEGE mlikuwa mnamsifia kuwa mmepata spika mwanamke mpaka mkataka SIX ABADILI JINSIA kama anautaka uspika?? Na bado ngoja mpate Rais Mwanamke, MTAKOMAJE!!!!!!
 
Watanzania bana sometimes huwa ninashindwaga kuwaelewaga!!! Si huyu huyu ANA MAKINDA YA NDEGE mlikuwa mnamsifia kuwa mmepata spika mwanamke mpaka mkataka SIX ABADILI JINSIA kama anautaka uspika?? Na bado ngoja mpate Rais Mwanamke, MTAKOMAJE!!!!!!

Waliomsifia ni wale waliofanya chini juu mpaka Makinda akapata Uspika kwani walikuwa na ajenda ya siri ya kulidhoofisha bunge lililoanza kupata nguvu sana ya kuithibiti serikali dhaifu ya mkwerrreeee!!! Sitta alikuwa ameliwezesha bunge kuhoji udhaifu wa serikali hadharani na hilo ndilo lililomuudhi baba MwanaAsha mpaka akafanya mbinu za magamba na kumuodoa Sitta!!
 
Mkuu, bibi huyu ni aina ya viongozi tulo nao nchini ambao wanaamini kuwa waTanzania ni wajinga wasiojua lolote kabisa na hatuna umakini wowote kwa masuala yanayotuhusu. Haya maneno aliyotamka ni kejeli mbaya sana kwa wananchi. Swali kwa wote wenye mawazo kama yake: kama hayo hatuyajui wao bungeni waanajadilli kwasababu gani? Au ni kutimiza tu wajibu wapate posho? Bibi amechoka arudi akacheze na wajukuu.

Hapo bold hivi anao hata wa kusingiziwa kweli.
 
Nimeamua rasmi kuacha kutazama bunge...mana nimekuta natoa maneno makali kwa nguvu mbele ya wanangu!Kauli ya Makinda imenifanya nitamke neno kama la Serukamba nikilielekeza kwa spika!uzuri tu Mama mkwe hajui Kizungu!


hahahahaaaa!!! ume-serukamba mbele ya mama mkwe..
 
Mh Lembeli kauliza swali la nyongeza; ripoti ya utoroshaji wa fedha Uswisi itatolewa, maana Watanzania wengi wanaisubiri kwa hamu.

Kabla AG hajajibu Spika Makinda akachomekea,"kwanza hata hawayajui!

Napenda kumjulisha kuwa;
1. Inawezekana Watanzania wengi hawajui lkn ndio maana wamechagua Wabunge wakiamini wana uelewa.

2. Watanzania wa leo sio wa enzi zako ukiwa Waziri kwenye Serikali ya Nyerere.

Huyu mama ni lamba miguu mzuri wa Lowassa....anajua ikijulikna na bosi wake ataumbuka! Nyambaff!!
 
Yuko hapo kwa matakwa ya watu. Asifikiri Watanzania tumesahau uporaji wa rasilimali uliofanywa na unaondelea kufanywa na Magamba? Tunakumbuka uovu wote.
wengine matukio yote tumeyaifadhi kwenye memory card..ili hata watoto wetu na wajukuu wajue nini magamba walikuwa wanafanya
 
NDIO MAANA HAJAOLEWA..NI MWANAUME GANI ATAKUBALI KUOA LIKIMEO KM HILO...NDO maana WALICHOVYA WAKASEPA...HANA UTU..UUNGWANA..YEYE NDO YEYE...yaani tabu tupu huyu mama
 
Back
Top Bottom