johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti
Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge
Source: Mwananchi
Lucas na ChoiceVariable Msinuniane 😂
Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge
Source: Mwananchi
Lucas na ChoiceVariable Msinuniane 😂