Spika Dkt. Tulia: Mtu anaweza kukosa nafasi kwenye uchaguzi lakini akaja kuteuliwa hivyo wana Mbeya msinuniane!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti

Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge

Source: Mwananchi

Lucas na ChoiceVariable Msinuniane 😂
 
Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti

Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge

Source: Mwananchi

Lucas na ChoiceVariable Msinuniane 😂
majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
 
majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
Yatasombwa na yanazidi kusombwa. Kuna likubwa limoja litaondoka soon
 
Mlala Hoi : Keki ya Taifa ni kubwa mno, acha wagawane.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
majizi ya kura yanafikiria kula tu na si service kwa watu. mashetani wakubwa , Mungu yaangamize yasombwe na tsunami ya hanang
Amini nakwambia, hata CUF, CHADEMA, TADEA na vyama vingine ilmradi ni wa Afrika wakipewa nafasi ya uongozi mambo yatakuwa yaleyale.

Kuwa kiongozi mwenye maslahi ya unaowaongoza hapa Afrika ni lazima uwiwe na utashi.
 
Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti

Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge

Source: Mwananchi

Lucas na ChoiceVariable Msinuniane
Hili ndilo tatizo la CCM. Walishachukulia kuwa ni halali kuteuana kichama na kugawana nafasi au madaraka ktk utumishi wa umma. Ni haibu Dr. mzima kusema haya aliyoyasema. Amewahidi nafsi zipi, ukurugenzi EWURA au kwenye almashahuri?
 
Hapana sisi hatununi hata kidogo maana siku zote tunatanguliza mbele maslahi ya Taifa letu kuliko maslahi yetu binafsi. Ndio maana unaona mimi na choice variable tupo humu wakati wote tukilitetea Taifa letu.
 
Haichekeshi we ajuza.
Wewe Tindo usimjibu Faizafoxy kama unavyonijibu mimi. Faiza ana heshima yake kubwa na kuheshimika sana humu jukwaani.kwanza sizani hata kama mnalingana umri.kwa hiyo uwe na adabu na heshima kwa wakongwe wetu wa jukwaa hili na waliyolipatia heshima jukwaa letu.
 
Wewe Tindo usimjibu Faizafoxy kama unavyonijibu mimi. Faiza ana heshima yake kubwa na kuheshimika sana humu jukwaani.kwanza sizani hata kama mnalingana umri.kwa hiyo uwe na adabu na heshima kwa wakongwe wetu wa jukwaa hili na waliyolipatia heshima jukwaa letu.
Sawa descpline master. Humu ndani umri unapimwa kwa point zako.
 
Spika Dr Tulia amesema CCM kuna nafasi nyingi unaweza kukosa kwenye kuchaguliwa lakini ukaja Kuteuliwa Msinuniane Uongozi ni kuachiana kijiti

Dr Tulia amesema hayo wakati akimpongeza Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Komredi Mwalunenge

Source: Mwananchi

Lucas na ChoiceVariable Msinuniane 😂
Yaani ccm ishajipindua kikamilifu
 
Back
Top Bottom