DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakati Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama “Baba Levo,” akila kiapo cha uaminifu Bungeni, amejikuta akirudia kiapo hicho baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Zungu, kukataa kutumia jina la utani “Baba Levo” kwa kuwa si jina lake rasmi.
Tukio hilo limejiri leo, tarehe 11 Novemba 2025, wakati wa hafla ya uapisho wa wabunge wateule iliyofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Pia Soma: Baba Levo ajitambulisha Bungeni, atamba, "niliangusha Mbuyu"
Tukio hilo limejiri leo, tarehe 11 Novemba 2025, wakati wa hafla ya uapisho wa wabunge wateule iliyofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Pia Soma: Baba Levo ajitambulisha Bungeni, atamba, "niliangusha Mbuyu"