Spika Anapovunja Kanuni; NAOMBA MUONGOZO!

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
Wakuu, ni dhahiri kuwa Mh Makinda ameshindwa kuendesha bunge kwa Misingi ya Haki, ama kwa kutojua au kwa maslahi ya kundi flani. Mienendo ya spika kuwakingika kifua Mawaziri na watendaji wakuu wa Serikali wasihojiwe na Wabunge ili kuonesha uwajibifu wao katika kulinda na kutetea maslahi ya wananchi i suala hojifu ambalo kimsingi linampunguzia au kumwondolea kabia credibility, na ni ukweli ulio wazi kwamba huyu mama yuko incopetent katika nafasi yake.

Swali la MSingi;
Je, katika hali kama hii kuna jinsi yoyote ya kumuwajibisha spika?
Natumaini humu kuna wabobezi wa mambo ya siasa na uongozi, watatupatia MUONGOZO kisheria.
Nawasilisha.
 
Waliomweka pale walijiua incompetency yake na ndio maana walimpigania kwa kisingizio kuwa hii ni zamu ya mwanamke. She is an instrument of the mafisadis and those who do not want to see real change and progress in Tanzania.
 
Waliomweka pale walijiua incompetency yake na ndio maana walimpigania kwa kisingizio kuwa hii ni zamu ya mwanamke. She is an instrument of the mafisadis and those who do not want to see real change and progress in Tanzania.

Sasa nini kinaweza kufanywa? Kukubali yaishe?
 
Sasa nini kinaweza kufanywa? Kukubali yaishe?
That is a good question. Ningekuwa na jibu nisingekuwa hapa nyuma ya keyboard. Ningekuwa mstari wa mbele nikiendeleza mapambano.
Lakini, tusife moyo. Chadema wameanza vizuri. Suala la posho linawatoa jasho CCM. Na suala la umakini wa Makinda linaanza kuonekana mbele ya kadamnasi. Tusife moyo.
 
hivi akitokea mbunge aliyeruhusiwa kuchangia hoja au kuuliza swali la nyongeza halafu akasema sentensi ifuatayo bungeni na kukaa kitini au kutoka nje ya bunge baada ya kuisema itakuwaje?:-
"JAMANI WAHESHIMIWA WABUNGE, SINA IMANI NA MWENENDO WA SPIKA KATIKA KUISIMAMIA SERIKALI"
 
Back
Top Bottom