Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,793
Na mimi swali nalojiuliza ni pale aliposena.
"Natamani ningefunguka zaidi.." sijui alimaanisha nini
"Natamani ningefunguka zaidi.." sijui alimaanisha nini
Wote wapumbavuKatika nyanya zote za uongozi. Najua makonda anamapungufu mengi ila sio yakumzidi sabufa
Kwa wewe sitasema chochote maana wewe bila huyo Makonda ni sawa na uhesabiwe umekufa.Mkuu wewe tatizo lako na Makonda ni la muda mrefu mno, tunakuelewa.
Inaonekana mlikosana huko chuoni, naona unaendeleza chuki kwake mpaka sasa.
Punguza nyongo kwa afya mkuu.
Mbona alishaitwa kwenye kamati.Ha ha ha.. Tambo na uwezo wa Ndugayy unaishia kwa CAG, na wabunge wa upinzani, kwa Bashite amekwaa kisiki.. Kwa Bashite, Ndugayy ni kama kichunguu kilicholoa maji, kinamong'onyoka chenyewe kabla ya kuguswa.. Ndugayy hana uwezo wa kumfanya chochote, kumuita Dodoma, wala kumuadhibu..
Simpendi sana Bashite, ila kwa hili nimefurahi Ndugayy amekutana na jabali
Kisha ukasikia nini..?Mbona alishaitwa kwenye kamati.
Nguvu ya spika wa bunge ni kubwa na hili wala sihitaji kuelezea!
Sasa Spika anaposema mkuu wa mkoa wa DSM ana nguvu hapo ndio mimi sielewi kabisa!
Labda kama wadau mtanielewesha...
Kwamba imefika mahali Makonda ana paralize system ya uongozi wa nchi?
Rais anamuagiza Makonda akaihamasishe timu na spika anamuagiza waziri akasimamie timu. Hivi what was that?
Makonda anaitisha kikao na timu, hivi waziri anaingia hichi kikao kama nani?
Mjumbe au?
Tumeshageuza nchi kuwa kitu cha ajabu ambacho labda watu kama Kabudi tu ndio wanaelewa tunakoelekea.
Mimi nilidhani tunapiga hatua kutoka uongozi wa Kikwete kwa kuboresha taasisi na kuzipa nguvu ila nguvu kubwa sana imetumika kuparalize hizo taasisi na CCM ikiwepo.
Ukiangalia kwa umakini hata CCM kama taasisi iko in disarray. Mwenye nguvu ni Mwenyekiti pamoja na Makonda.
This alarm should be enough. Think people, think!
Ukiona hivyo ujue hiyo perfume yako ni fake. Pole.Wivu wa nini sasa!
Naweza kuwa na ving'ombe na mbuzi nilivyotafuta kwa shida ila vikadumu mpaka nikaviacha urithi.
Mali alizo nazo Makonda zaweza kupotea kesho kama harufu ya perfume!