Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,239
- 9,527
Nguvu ya spika wa bunge ni kubwa na hili wala sihitaji kuelezea!
Sasa Spika anaposema mkuu wa mkoa wa DSM ana nguvu hapo ndio mimi sielewi kabisa!
Labda kama wadau mtanielewesha...
Kwamba imefika mahali Makonda ana paralize system ya uongozi wa nchi?
Rais anamuagiza Makonda akaihamasishe timu na spika anamuagiza waziri akasimamie timu. Hivi what was that?
Makonda anaitisha kikao na timu, hivi waziri anaingia hichi kikao kama nani?
Mjumbe au?
Tumeshageuza nchi kuwa kitu cha ajabu ambacho labda watu kama Kabudi tu ndio wanaelewa tunakoelekea.
Mimi nilidhani tunapiga hatua kutoka uongozi wa Kikwete kwa kuboresha taasisi na kuzipa nguvu ila nguvu kubwa sana imetumika kuparalize hizo taasisi na CCM ikiwepo.
Ukiangalia kwa umakini hata CCM kama taasisi iko in disarray. Mwenye nguvu ni Mwenyekiti pamoja na Makonda.
This alarm should be enough. Think people, think!
Sasa Spika anaposema mkuu wa mkoa wa DSM ana nguvu hapo ndio mimi sielewi kabisa!
Labda kama wadau mtanielewesha...
Kwamba imefika mahali Makonda ana paralize system ya uongozi wa nchi?
Rais anamuagiza Makonda akaihamasishe timu na spika anamuagiza waziri akasimamie timu. Hivi what was that?
Makonda anaitisha kikao na timu, hivi waziri anaingia hichi kikao kama nani?
Mjumbe au?
Tumeshageuza nchi kuwa kitu cha ajabu ambacho labda watu kama Kabudi tu ndio wanaelewa tunakoelekea.
Mimi nilidhani tunapiga hatua kutoka uongozi wa Kikwete kwa kuboresha taasisi na kuzipa nguvu ila nguvu kubwa sana imetumika kuparalize hizo taasisi na CCM ikiwepo.
Ukiangalia kwa umakini hata CCM kama taasisi iko in disarray. Mwenye nguvu ni Mwenyekiti pamoja na Makonda.
This alarm should be enough. Think people, think!