Spika akalia kuti kavu

Naogopa ku comment ntapigwa ban..ngoja nikae kimya tu ila mungu yupo
 


makinda ya kuku
 

Hata kama amekosea tuseme amekosea tu. Haina haja ya kwenda "personal". Her private life is off limits as much as you would like yours to be. This is misguided thinking, please restrain yourself
 
Reactions: FJM
Atamuomba Kova amsaidie kukamata mtui yeyote hata wa sumatra na kumfikisha mahakamani ili hilo suala lisizungumzike tena na yeye aponee hapo!!ni upepo tu utapita!liwalo na liwe na Bunge siahirishi!!
 
Wabunge wa CCM wasipokuwa makini huyo Spika atawaingiza kaburini. She has nothing to loose, hagombei tena, na tayari ana pension ya uhakika kama Spika mstaafu, kwa hiyo sasa hivi atapeleka mambo ili mradi yanafurahisha mtandao wake (ambao nao wataingia kwenye pension) shida ni kwa CCM kama chama na hasa wagombea nafasi za ubunge kwa kupitia CCM!
 
Naogopa ku comment ntapigwa ban..ngoja nikae kimya tu ila mungu yupo
Waspanish wana msemo huu, "Mdomo ulifumbwa hauingii nzi," kwa hivyo na mimi kwa hili bora nifumbe mdomo.
 
Makinda alipopewa Uspika kwa mbinu na CCM walifikiri wamepata kumbe wamepatikana!

Tuliwaambia CCM tangu mwanzo kabisa kwenye ukumbi huu kwamba,MWANAMKE HATA SIKU MOJA HAWEZI KUONGOZA WANAUME(KAYA/FAMILIA) KWA MAANA MUNGU AMEKATAZA HILO JAMBO. BIBLIA INASEMA,"SIMPI RUHUSA YA MWANAMKE KUMTAWALA MWANAMME".Full Stop!

KILE TUNACHOSHUHUDIA KWA SASA BUNGENI NI LAANA YA KUTAWALIWA AU KUONGOZWA NA MWANAMKE ANNA MAKINDA. WATAZNANIA MTAJUTA KUKUBALI UPUUZI NA UJINGA HUU WA CCM!
 
kuendelea kuwa na watwala wanaowaza maslahi yao kuliko ya umma tutaendelea kupoteza maisha kama hivi..poleni sana mliokumbwa na ajali hii na wale waliopotelewa na ndg zao kupitia ajali hiyo
 
Haya sasa limehairishwa! je wote wameenda huko Zenji au ndo wengine wameenda kuendeleza ufuska wao mtaaani?
 
Huyu mama kakinda, KAKINDA si sawa kabisa jana kajiaibisha yeye na magamba yake
 

Ungekuwa na akili timamu wala usingetoa mapovu kama hivi! Katika hali ya kawaida serikali inapotangaza msiba wa kitaifa shughuli huendelea kama kawaida! Timu ya mafunzo kutoka Zanzibar jana iliendelea na mashindano ya Kagame lakini kuonyesha kuwa kuna msiba wa taifa walifunga vitambaa vyeusi.

Acha kutoa kilio cha mchawi!
 
Hahahah... Wameanza uchadema, wakaingia udini , wakaenda ukabila, wamekwenda u zanzibar na ubara, wataenda uccm magamba --- uccm safi, then uccm vijana na uccm wazee... Kwa majumlisho ... Mfa maji haishi kutapatapa.
 

ana mtoto wa kike tena huyo binti (sio spika)alizaa na msanii mmoja wa jijini Mwanza wakiwa shule..akakimbizwa Ulaya kusoma
 



Nakubali kuwa sina akili timamu ya kuweza kukuelewa mtu usiejuwa kufananisha vitu! Sawa hivyo ulitaka na wabunge nao wavae vitambaa vyeusi au sio ? Kwa bahati mbaya hawakuvaa sasa ina maana kuwa wao msiba haukuwahusu.
Iwapo akili yenyewe ndio hiyo uliyonayo wewe basi bado naridhika kkuwa sina akili lakini siko tayari kuwa na akili za aina yako!
 
Sioni kosa kabisa la Makinda kama meli inge zama ziwa victoria hao wanafiki wa zanzibar hata wasingefikiria kutoka bungeni!
 

Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…