Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Mi nafikiri CHADEMA wawakubali hao NCCR,TLP,CUF,wakileta ujinga kuna vifungu vinaruhusu kuwaondoa kama ilivyokuwa kwa John Cheyo,tatizo ni kuwa hivi vyama haviaminiki,watu wana hila zao za kisiasa,i can understand CHADEMA hesitation to work with this guys but it worth trying working together.
Ndugu kama huna uhakika wa jambo ni bora ukanyamaza usionekane mpumbavu au mwenye mapenzi na watu wa aina fulani. Nchi hii haitaendeshwa kwa mapenzi ya vyama zaidi ya uzalendo kutoka katika mioyo yetu. CUF 2005 - 2010 walikuwa na wabunge wenye kukidhi kuunda kambi ya upinzani peke yao sasa kwa mampenzi yako kwa CDM yanakutia upofu ukasema maneno usiyo yajuaKama magreat thinkers hatuwezi kuwashutumu viongozi wawe wa CDM, CCM, PPT na vyama vingene eti watu wa hatari sana maneno haya hata CCM wanapenda sana kuyatumia hata CUF na vyama vya upinzani lakini tusikubali kumeza uchafu huo. Tukisema Hamad ni mtu hatari basi tuwe tunakumbusha tukio fulani mfano "alisababisha watu waandamane wakauwawa 2001" sioni ajabu watu wakasema hivyo au labda mtu hatari alipokuwa waziri kwenye serikali ya Mwl Nyerere alitumia madaraka vibaya. We are great thinkers tusiwashutumu watu shutuma zisizo na "mashiko"HAMAD ni mtu hatari kwa bara.CUF haijawai kuipa CDM ofa bali walibanwa na kanuni, walimpa ofa UDP in 1995-2000 if am not mistakeni
Wenye kumbukumbu nzuri wataungana na mimi vyama vya CDM na CUF ndio vyama vya kwanza Tanzania vilivyokubaliana kufanya kazi pamoja na kusimamisha mgombea mmoja wa Urais 2000 CDM hawakumsimamisha mgombea Urais na waligawana kwenye majimbo vyama husika vilipokuwa na nguvu CDM haikusimamisha mgombea na CUF hawakufanya hivyo. Lakini ushirika ule ulikoma 2005.