Msemo wa "Umoja ni Nguvu" si wa kila mahali. Na si lazima kifkra.
CDM wana sera yao, malengo yao, mbinu zao katika dhima nzima ya siasa & dola...... kadhalika CUF wana za kwao, TLP, NCCR nk kila moja ana za kwao. Umoja unakuja tu katika dhana ya taifa na maslahi yake. Kisiasa na Kijamii hivi vyama ni muhimu vikibaki vilivyo sasa (visiungane). Labda watafute hifadhi ya muda CCM.
Kwa nini? Viongozi wengi wa vyama vya upinzani Tz ni dhaifu, wana njaa, wabinafsi na wenye upeo mdogo wa kuelewa mambo na kuona mbali. Tz was there for taking after the storms of 1995 elections (by implications a proof of the fakeness of whitepaper for multi-partiism democracy's referendum in Tz), where with no unapparent reasons the oppositions has been skirmishing and destroying from within and killing one another leaving CCM to continue looting the country.
I don't borrow weight on CCM killing these parties....they do, firstly and foremostly, contributing significantly on their own downfall. Mapindikizi ya CCM wamo lakini sio sababu ya msingi.
Wake bench, wajifunze kuwa siasa si tu madaraka na vyeo basli lengo lilpaswa kuwa ni kuwatumikia wananchi wa Tz, kulikomboa Taifa na umsakini, ujinga, maradhi na ufisadi. CCM haichukiwa kwa sababu ya jina au rangi yake bali ni kwa sababu ya sera na matendo yake maovu kwa jamii ya wananchi wa Tz.