Spidi ile JK wanamkimbizia wapi..!?

Mkuu kwani ilikuwa Rais akutane na madaktari?
Ngoja malofa wenzako waanze kufa leo ndio utajuwa namna nzuri ya kuuliza maswali na ndio utajuwa kwamba nchi haina rais bali inaendeshwa na auto pirot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…