Spicy barbecued goat meat

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
Mahitaji

1)Nyama ya mbuzi 1 kg
2)Pilipili mbuzi 2
3)Pilipili manga 1/2 teaspoon
4)Bizari ya pilau (cumin) 1 tablespoon iliyotwagwa
5)Mafuta ya kupikia 1 tablespoon
6)Chumvi kiasi
7)Tangawizi na kitunguu saumu 1 tablespoon
8)Kitunguu maji 1 kikubwa
Namna ya kutaarisha

1)Osha nyama vizuri na ukate vipande vipande

2)Weka pilipili manga,bizari ya pilau,kitunguu saumu,tangawizi na chumvi katika nyama...changanya vizuri then funika bakuli na weka katika friji nyama ikolee viungo

3)Twanga pilipili zako

4)Kata kitunguu maji vipande vikubwa kubwa vinne

5)Baada ya saa 1 ya kuacha nyama ikolee viungo,weka nyama katika sufuria then weka kitunguu maji then add maji nusu ya nyama..chemsha

4)Nyama ikishawiva ondoa vitunguu maji

5)Koroga nyama yako hadi ukauke maji na kubakia na mchuzi mzito mzito

6)Tenganisha nyama na mchuzi mzito...nyama weka kwenye grill then geuza geuza kwa dakika 15..then toa ili isikauke sana

7)Weka mafuta ya kupikia jikoni then weka pilipili yako uliotwanga na mchuzi mzito ulitoka katika nyama then koroga vizuri,kaanga kidogo alafu weka nyama yako uliokausha

8)Koroga hadi nyama ikauke vizuri...epua

9)Spicy barbecued goat meat tayari kwa kuliwa....unaweza shushia na kinywaji upendacho.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Enjoy.......patamu sana hapa lol
 

Attachments

  • 1391166757199.jpg
    1391166757199.jpg
    8.1 KB · Views: 324
  • 1391166769030.jpg
    1391166769030.jpg
    54.8 KB · Views: 172
Mahitaji

1)Nyama ya mbuzi 1 kg
2)Pilipili mbuzi 2
3)Pilipili manga 1/2 teaspoon
4)Bizari ya pilau (cumin) 1 tablespoon iliyotwagwa
5)Mafuta ya kupikia 1 tablespoon
6)Chumvi kiasi
7)Tangawizi na kitunguu saumu 1 tablespoon
8)Kitunguu maji 1 kikubwa
Namna ya kutaarisha

1)Osha nyama vizuri na ukate vipande vipande

2)Weka pilipili manga,bizari ya pilau,kitunguu saumu,tangawizi na chumvi katika nyama...changanya vizuri then funika bakuli na weka katika friji nyama ikolee viungo

3)Twanga pilipili zako

4)Kata kitunguu maji vipande vikubwa kubwa vinne

5)Baada ya saa 1 ya kuacha nyama ikolee viungo,weka nyama katika sufuria then weka kitunguu maji then add maji nusu ya nyama..chemsha

4)Nyama ikishawiva ondoa vitunguu maji

5)Koroga nyama yako hadi ukauke maji na kubakia na mchuzi mzito mzito

6)Tenganisha nyama na mchuzi mzito...nyama weka kwenye grill then geuza geuza kwa dakika 15..then toa ili isikauke sana

7)Weka mafuta ya kupikia jikoni then weka pilipili yako uliotwanga na mchuzi mzito ulitoka katika nyama then koroga vizuri,kaanga kidogo alafu weka nyama yako uliokausha

8)Koroga hadi nyama ikauke vizuri...epua

9)Spicy barbecued goat meat tayari kwa kuliwa....unaweza shushia na kinywaji upendacho.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
yaamy yaamy ni rahisi sana swali kwanini tunatoa vitunguu maji..
 
Karibu ukaribie na ujiskie kama uko nyumbani.

Ni Super Bowl weekend na nina throw Super Bowl party na wewe umeniongezea menu item.

Go Seahawks!

Hahahahahha ahsante ntakuja nije nitoe tongo za macho kwa raha zangu mechoka kukaa ndani kama mwari wa zamani lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Sio kwa ugari ndio kitu inanoga zaidi? Alafu apo mie nipate vimaji vina barafu burdan roho yangu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

tatizo ugali huwa sipendi sijui tu kitu cha mtume ni noma sana na juisi ya embe passion na parachichi yereee uwiii...
 
tatizo ugali huwa sipendi sijui tu kitu cha mtume ni noma sana na juisi ya embe passion na parachichi yereee uwiii...

Hiyo ya passion wanitoa roho sijakunywa siku nyingi sana....ya parachichi nnayo imekolea ndimu na tangawizi..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom