Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Nimekaa nikiwaza hili. Inakuwaje kama wawili wameoana halafu hawakubahatika kupata mtoto? Yawezekana tatizo likawa kwamke au mume ila mara kama tatizo ni la mwanamke basi mwanaume huruhusiwa kutafuta mwanamke wa kuzaa neo huko nje. Vile vile Kama tatizo ni la mwanamke basi hutokea mifarakano na hatimaye mwanamke kufukuzwa. Kama tatizo ni la mwanaume, huyo mwanaume ni nadra sana kumruhusu mwanamke kutafuta mwanaume wa kuzaa nae.
Katika muktadha huu ndipo nilipofikiria ishu ya sperm bank hapa bongo. Ipo? Hii ingesaidia ndoa nyingi sana kuendelea kudumu pale ambapo mwanaume amepatwa na ugumba.
Nawasilisha.
Katika muktadha huu ndipo nilipofikiria ishu ya sperm bank hapa bongo. Ipo? Hii ingesaidia ndoa nyingi sana kuendelea kudumu pale ambapo mwanaume amepatwa na ugumba.
Nawasilisha.