Speed 120km/hr ya pikipiki na 120km/hr ya gari?

Ninachokiona mm hapa ni kuwa watu hawajui speed ni nn........nendeni mkasome kwanza speed ni kitu gani halaf ndo mtaweza kujadili hii mada vizuri,maana watu wanachanganya speed na matairi,gear box,ukubwa wa gari mara sijui ndege,meli mara boti.....kama kitu kina move basi kitakuwa na a certain speed bila kujali aina ya movement yake kwa mfano gari,ndege,train,wanyama, binadamu n.k na speed yao inapatikana kwa kupima distance coverd per time.
niwape mfano.....tukichukua gari,punda,bajaji,pikipiki na binadamu tukasema wote watembee kwa speed ya 5km per hr tunategemea baa ya saa limoja wote watakuwa wametembea km 5. kwa sababu wote walikuwa kwenye speed sawa.

nije kwa wale wa matairi
>>tuchukue tairi ya lorry lina diameter ya may be 2m na corrola ina diameter ya 1m na corrola anataka kutembea speed sawa na lorry inabidi matairi yake yazunguke mara 2 kufikie mzunguko wa lorry na hapo wanaweza kutembea speed moja
>> nikupe mfano mwingine chukua ww ni mtu mzima umemshika mkono mtoto mdogo unatembea nae sambamba kwa speed inayofanana na ndo maana mko sawa lakini ki ukweli mtoto atakuwa anatembea hatua nyingi kuliko ww pamoja mko kwenye speed.

angalizo km hujui speed ni nn kaa pembeni usijaribu kupata wanachama wa kuwadanganya na kufuata mkumbo ingia hata google uweze kusoma na kujua what is speed????
 
Mzee utachekwa !
Tunaposema Km/h tuna maanisha umbali wa barabara na muda unaotumika ku cover huo umbali na siyo vinginevyo.
usichanganye rpm, revolution per minute ya engine.
Hivyo, 120km/h iwe ya ndege, baiskeli, pikipiki treni, lori, chui zote ni sawa.
Kama wanaenda umbali wa Km 120 wote watatumia saa 1 wakiwa katika spidi hiyo ya 120km/h.

Muuliza swali pia amekosea ndio maana majibu yanakuwa tofauti! Alipaswa kusema ni muda utakuwa sawa au kasi itakuwa sawa !
 
Wale askari wa usalama barabarani wanakuwaga na tochi za malori na za Vits?
Ama zinadisplay 50km/hr Lorry?
 
Ninachokiona mm hapa ni kuwa watu hawajui speed ni nn........nendeni mkasome kwanza speed ni kitu gani halaf ndo mtaweza kujadili hii mada vizuri,maana watu wanachanganya speed na matairi,gear box,ukubwa wa gari mara sijui ndege,meli mara boti.....kama kitu kina move basi kitakuwa na a certain speed bila kujali aina ya movement yake kwa mfano gari,ndege,train,wanyama, binadamu n.k na speed yao inapatikana kwa kupima distance coverd per time.
niwape mfano.....tukichukua gari,punda,bajaji,pikipiki na binadamu tukasema wote watembee kwa speed ya 5km per hr tunategemea baa ya saa limoja wote watakuwa wametembea km 5. kwa sababu wote walikuwa kwenye speed sawa.

nije kwa wale wa matairi
>>tuchukue tairi ya lorry lina diameter ya may be 2m na corrola ina diameter ya 1m na corrola anataka kutembea speed sawa na lorry inabidi matairi yake yazunguke mara 2 kufikie mzunguko wa lorry na hapo wanaweza kutembea speed moja
>> nikupe mfano mwingine chukua ww ni mtu mzima umemshika mkono mtoto mdogo unatembea nae sambamba kwa speed inayofanana na ndo maana mko sawa lakini ki ukweli mtoto atakuwa anatembea hatua nyingi kuliko ww pamoja mko kwenye speed.

angalizo km hujui speed ni nn kaa pembeni usijaribu kupata wanachama wa kuwadanganya na kufuata mkumbo ingia hata google uweze kusoma na kujua what is speed????

Kwa jibu hili nadhani hakuna tena swali.
 
kilo moja ya chuma na kilo moja ya pamba ipi nzito, ndio unachouliza?
Nitakijibu kama ulivyo ufahamu wako .-zote sawa uzito lakini pamba itakuwa nyingi chuma kidogo(sasa tafakari kati ya gari na pikipiki ipi pamba na ipi chuma)
 
Sasa kwa style hii, kweli humu jf kuna vilaza wengi kweli. Eeh na what is the maximum speed of bus without considering those on the Dashboard
 
Kwa gari au pikipiki diameter ya tairi ni kigezo muhimu sana. Maana speedometer sensor imefungwa kwenye tairi linaloendeshwa (a driven tyre) na speed sensor inahesabu mizunguko (revolutions) ya tairi. Tairi ndogo inazunguka mara nyingi zaidi kuliko tairi kubwa kwa umbali uleule. Kwa hiyo wachangiaji waliochangia hapo juu kwamba tofauti ya ukubwa wa matairi unacontribute kwenye tofauti ya actual speed wapo sahihi.

si kweli ndugu yangu. speed kama ni kph au mph ni lazima ifanane. sensor inakuwa tofauti kwa kulingana na ukubwa au tofauti ya mzunguko but inasoma kph zile zile au mph zile zile na kama itasoma tofauti basi ni ya kichina.
 
Kwa gari au pikipiki diameter ya tairi ni kigezo muhimu sana. Maana speedometer sensor imefungwa kwenye tairi linaloendeshwa (a driven tyre) na speed sensor inahesabu mizunguko (revolutions) ya tairi. Tairi ndogo inazunguka mara nyingi zaidi kuliko tairi kubwa kwa umbali uleule. Kwa hiyo wachangiaji waliochangia hapo juu kwamba tofauti ya ukubwa wa matairi unacontribute kwenye tofauti ya actual speed wapo sahihi.

si kweli ndugu yangu. speed kama ni kph au mph ni lazima ifanane. sensor inakuwa tofauti kwa kulingana na ukubwa au tofauti ya mzunguko but inasoma kph zile zile au mph zile zile na kama itasoma tofauti basi ni ya kichina. kwa lugha nyingine unataka kuniambia kilo moja ya toilet paper ni tofauti kwa uzito na kilo moja ya mawe?
 
Rafiki hapo umekosea sana, Mimi ninauzoefu wa mambo ya magari.

Kwa mfano Suzuki ina tairi ndogo Scania ina tairi kubwa kama mara mbili ya tairi ya Suzuki kama kwenye Scania mshale wa speed utakuwa kwenye 120 na Suzuki 120 lazima Scania itampita Suzuki hiyo haina upishi kabisa.
Pia Sensor ya speed iko kwenye gearbox iko wazi mzunguko wa gear box ya gari ndogo ni tofauti na gari kubwa

Kweli nchi hii ina vilaza wengi, ndio nini hiki unaongea mwagito?

Yaani ni sawa na kusema kuwa kilp moja ya mchele ni nyepesi kuliko kilo moja ya mawe kwa kuwa mchele punje zake ni ndogo.

Labda nikuulize, mtoto mdogo akikimbia mbio kwa spidi ya kilomoita 15 kwa saa na mkubwa akakimbia kwa spidi ile ile nani atafika haraka?
 
Jamani hata uwe hujasoma physics tumia tu logic ya kawaida. umeshasema 120km/h maana yake ni kucover km 120 kwa saa moja. haijalishi awe kinyonga, simbilisi, nyoka, guta, bajaji, vitz, ama kilimo kwanza (V8) spidi ni ile ile.
 
Kabla ya yote tuelewe maana ya speed ni nini, speed is the distance covered per time, or is the rate of distance covered, distance for given time. Sasa speed inayozungumziwa ni ya gari (chombo chenyewe) na sio tairi/tyre/miguu au mabawa. Sasa ukitaka kujua speed ya chombo au kitu fulani chukua umbali wa hicho kitu kilichotembea gawanya kwa muda uliotumoika. Na speed ya taili inapimwa kwa revolution per time, au wataalamu wanaita angular velocity. Sasa my take 120km/h ya lory au basi au pikipiki au mtu mzima au mtoto au kinyonga zote ni sawa. Kwa sababu hivyo vipimo vyote ni vya kimataifa yaani International standard Unit - SI unit, kama mnafikiri matairi ni speed je kwa vitu ambavyo havina matairi kama ndenge au mtu au meli inakuwaje? Mimi na mtoto mdogo tunaweza kukimbia kwa speed ya 50km/h lakini mimi nipapiga hatua 1 na mtoto atapiga hatua 3 lakini kama tutatembela km 50 wote tutatumia saa moja na sio vinginevyo isipokuwa tutatofautiana kwenye hatua tulizopiga. Kama mimi nitapiga hatua 200 basi mtoto atapiga hatua 600.
 
Jamani hii ya matairi madogo na makubwa mbona inawachanganya, chukulia mfano mzuri wa tractor matairi ya mbele iwe ya starlet au duet na ya nyuma ni ya lori au bus, kwa hvyo mnataka kusema tractor linatembea kwa speed mbili tofauti? nauliza kwa wale wanaosema speed ya duet 140km/h sawa na 120km/h ya bus, kwa mtindo huo tractor lingesambaratika. Think out of box kuna kuna speed ya mzunguko wa tairi, hyo inaweza tofautiana rev/min.
 
mzunguuko ndio unao-determine speed. kwa kadiri mzunguuko unavo zidi kuwa mkubwa ndivyo spidi inavyo kuwa kubwa and vice versa. Gari kubwa mfano basi au lorry mzunguko wake wa injini piston ni mkubwa. hivyo unafua nguvu kubwa Horse powers vile vile mzunguuko wa tyres ni mkubwa pia, linapozunguka mara moja starlet inazungusha zaidi ta mara tatu au nne. Hivyo basi au lori katika spidi ya 120 km/hr sio sawa na gari ndogo katika 120km/hr



speed=distance covered(km)/time taken(hr)

tyre kubwa (lori/basi) lina-cover distance kubwa linapozunguka mara moja,wakati gari dogo (starlet) lina cover distance ndogo at a given same time. hivyo ili kwenda sawa gari ndogo lazima liwe katika speed zaidi ya 120km/hr

True, kinacho matter ni horsepower au kipimo cha mzunguko wa engine ,,, engine za mabasi zinakuwa na mzunguko mkubwa kufikia horsepower 400
"Horsepower refers to the strength of the engine. More horsepower will usually make a car accelerate faster and reach a higher top speed. Generally speaking, you can be assured a 280 hp car will whoop the **** out of a 90 hp car. There are a lot of other factors, however (such as torque and the car's weight) that contribute, so you cannot compare two cars strictly on horsepower. This is why a lot of people compare benchmarks such as 0-60 times or quarter mile times, which are a better measure of how fast a car really is."
 
ANGALIZO KWA WOTE;MANUFACTURE WA CHOMBO CHOCHOTE WANATUMIA STANDARD CALIBRATION UNIT INAPOFIKIA KWENYE SETTING YA SPEED YA CHOMBO.IKUMBUKWE UNIT NI ILE ILE NA SAWA KWA VYOMBO VYOTE REGARDLESS DIAMETER YA TYRE AU MASS YA CHOMBO.TUSI-CONFUSE IWAPO MTENGENEZAJI WA SUZUKI COUNTER YAKE YA KM 1/HR TAIRI YAKE AMBAYO RECOMENDED KTK CALIBRATION ITAFANYA REVOLUTIONS KADHAA IKILINGANISHWA NA GARI YENYE TAIRI YA DIAMETER KUBWA ITAFANYA REVOLUTIONS KIDOGO,LAKINI KWENYE FITTING YA ODOMETER NI LAZIMA ZIWE KTK STANDARD UNIT NA KATIKA PASS-OUT ZOTE ZINAHESABIWA KATIKA STANDARD RECOMENDED UNIT.MFANO MDOGO UKINUNUA PISTON PUMPS MBILI ZA MAJI MOJA INA DIAMETER KUBWA NA NYINGINE NDOGO LAKINI UKAAMBIWA ZOTE UWEZO WAKE NI MITA ZA UJAZO 100 KWA SAA MAANA YAKE KWAMBA ILE NDOGO MOTA YAKE ITAFANYA MIZUNGUKO MINGI ZAIDI YA MOTA YA ILE KUBWA...natoa hoja
 
R. Fundi
Cha msingi hapa ni kuelewa maana ya 120km/hr, ni kwamba kila baada ya saa moja kupita gari au pikipiki au kitu chochote kile kinakuwa kimekwenda umbali wa kilometa 120. Haijalishi kama matairi ni madogo kiasi kwamba inabidi yazunguke kwa kasi zaidi ya chombo chenye matairi makubwa. Hivyo kitu chochote kikienda kwa kasi ya km 120 kila saa moja (hr) vyote vinakuwa na spidi ileile na kama vilianza pamoja vitafika pamoja. Kwa maanakwambakama safari ni ya km 240 vyote vitatumia masaa mawili kwani kila saa 1 vitakuwa vimeenda km 120, hii ndiyomaana ya 120/hr, au 120 per hour, kwa kiswahili ni mwendo wa chombo hicho kutumia saa 1 kusafiri km 120. Ni swala la kujua maana ya km/hr.
 
Back
Top Bottom