Speed 120km/hr ya pikipiki na 120km/hr ya gari?

kila gari linaopokuja huwa lina specifications zake, watengenezaji huwa wanafunga matairi ya size inayoendana na speedometer ya gari husika. na speedometer huesabu mzunguko wa tairi na kujua ni distance kiasi gani imekuwa covered kwa mzunguko mmoja as size ya tairi huwa imekwisha kuwa pre installed kwenye speedometer.

kwamaana iyo tractor tairi yake ikizunguka lets say mara moja speedometer yake itakuwa itacount kuwa labda 10meters zimekuwa covered na bajaji imekuwa set icounts kiasi flan cha mwendo baada mizunguko kadhaa ya tairi lake

tatizo huwa linakuja pale mtu anapofunga matairi makubwa au madogo kuliko iole size default ya gari husika.. mfano gari ya tairi size 14 ukafunga size 16 au 12. hii itafanya speedometer idanganye speed kwamaana ya kwamba mzunguko mmoja wa shaft ya matairi speedometer itakuwa inacount ile distance inayokuwa iko covered na tairi ya size 14 labda ni meter 5 kumbe umeweka tairi kubwa linalocover 7m au dogo linalocover 5m kwaivyo unakuta speedometer inaonesha speed kukwa lakini mwendo ni mdogo kama umefunga tairi ndogo au speed unayotumia ikawa kubwa kuliko ile inayoonekana kwenye speedometer kama umefunga size kubwa ya tairi kuliko ile inayotambulika na speedometer ya kifaa husika

hitimisho ni kwamba..120km/hr ya scania ni sawa na 120km/hr ya bajaji na ya guta as far as zote zinatumia size za matairi iliyowekwa na watengenezaji. kama matairi yamefanyiwa utundu kuongezwa au kuwa madogo basi speed itaendelea kuwa the same ya 120km/hr ila speedometer zenu zitakuwa zina read differently
 
are u kidding me????nyinyi ndo mnao wadanganya watu kila siku huko gereji.....no wonder hata ile overdrive inawachanganya ktk gari auto.....duh
HUYU ANAEULIZA HILO SWALI SIO APIME TAIRI ILI AFANYE HESABU KWAMBA 1 KM NI SAWA NA MITA 1000 HII NI SAWA NA MWENDA MIGUU AU MWENDESHA GARI AINA LOLOTE HAKUNA TOFAUTI LABDA WENGINE WANACHANGANYA NA MILE AU MAILI.:nerd:
 
Rafiki hapo umekosea sana, Mimi ninauzoefu wa mambo ya magari.

Kwa mfano Suzuki ina tairi ndogo Scania ina tairi kubwa kama mara mbili ya tairi ya Suzuki kama kwenye Scania mshale wa speed utakuwa kwenye 120 na Suzuki 120 lazima Scania itampita Suzuki hiyo haina upishi kabisa.
Pia Sensor ya speed iko kwenye gearbox iko wazi mzunguko wa gear box ya gari ndogo ni tofauti na gari kubwa

Speed si ile unayoangalia kwenye dashboard bali ni muda unaotumia kwa umbali flani unaotembea na ndio maana SI UNIT ya speed ni m/s au km/hour (kama ilivyoandikwa kwenye dashboard), kwa physics yangu ya form 2 mwanzoni mwa miaka ya 90 labda kama iwe imebadirika naweza sema speed ni sawa uwe kwenye escudo, bajaji au fuso au baiskeli, hapa shida ipo ni kwa anaendesha ku-maintain constant speed ndio unaona kuna watu wana-overtake. Hivyo Architect E.M yupo sahihi kabisa hakuna cha tairi kubwa wala dogo kwani mwenye tairi dogo tairi litazunguuka mara nyingi zaidi kuliko kubwa lakini mwisho wa siku speed sawa katika umbali flani. KWANI WEWE HUJAWAHI KUMFUKUZA MTOTO MDOGO AMBAE ANA HATUA FUPIFUPI AKAKUSHINDA MBIO JAPOKUWA WEWE UNAPIGA HATUA ZA KIUTU UZIMA.
 
Last edited by a moderator:
jibu lako hili hapa.......kwanza gari inamzunguko mkubwa wa engine (RPM), gari inamagurudumu makubwa kuliko pikipiki, so kwenye dashboard wote wakiwa 120 km/kr lazima gari liwe mbele,

kama huamini chukua bodaboda ipige mpaka 120, alaf ufukuzane na VX either V6 au V8 nae apige 120 kama utamsogelea
 
kila gari linaopokuja huwa lina specifications zake, watengenezaji huwa wanafunga matairi ya size inayoendana na speedometer ya gari husika. na speedometer huesabu mzunguko wa tairi na kujua ni distance kiasi gani imekuwa covered kwa mzunguko mmoja as size ya tairi huwa imekwisha kuwa pre installed kwenye speedometer.

kwamaana iyo tractor tairi yake ikizunguka lets say mara moja speedometer yake itakuwa itacount kuwa labda 10meters zimekuwa covered na bajaji imekuwa set icounts kiasi flan cha mwendo baada mizunguko kadhaa ya tairi lake

tatizo huwa linakuja pale mtu anapofunga matairi makubwa au madogo kuliko iole size default ya gari husika.. mfano gari ya tairi size 14 ukafunga size 16 au 12. hii itafanya speedometer idanganye speed kwamaana ya kwamba mzunguko mmoja wa shaft ya matairi speedometer itakuwa inacount ile distance inayokuwa iko covered na tairi ya size 14 labda ni meter 5 kumbe umeweka tairi kubwa linalocover 7m au dogo linalocover 5m kwaivyo unakuta speedometer inaonesha speed kukwa lakini mwendo ni mdogo kama umefunga tairi ndogo au speed unayotumia ikawa kubwa kuliko ile inayoonekana kwenye speedometer kama umefunga size kubwa ya tairi kuliko ile inayotambulika na speedometer ya kifaa husika

hitimisho ni kwamba..120km/hr ya scania ni sawa na 120km/hr ya bajaji na ya guta as far as zote zinatumia size za matairi iliyowekwa na watengenezaji. kama matairi yamefanyiwa utundu kuongezwa au kuwa madogo basi speed itaendelea kuwa the same ya 120km/hr ila speedometer zenu zitakuwa zina read differently

Upo sahihi mkuu sana tu
 
jibu lako hili hapa.......kwanza gari inamzunguko mkubwa wa engine (RPM), gari inamagurudumu makubwa kuliko pikipiki, so kwenye dashboard wote wakiwa 120 km/kr lazima gari liwe mbele,

kama huamini chukua bodaboda ipige mpaka 120, alaf ufukuzane na VX either V6 au V8 nae apige 120 kama utamsogelea

Speed huwa inapimwa in relation to distance traveled hivyo kwa kutumia speed iliyoandikwa kwenye dash board huwezi pata kile kilichokusudiwa kwani speed maana yake ni umbali uliotembewa na chombo kwa muda flani hivyo ukitaka kupima speed ya chombo lazima utengeneze mazingira ya kuweka umbali flani labda let say 100 kilometre alafu kila gari itembee constant speed (let say 100 km/h, kitakachotokea magari yote yatafika sawa, hizo zilizoandikwa hapo kuna mazingira zinadanganya mfano assuming unatumia gari manual alafu ukawa speed 80km/h sasa unabadilisha gia let say toka gia namba 4 kwenda pale ile gari itakuwa imepunguza ile speed wakati upo katika process ya kukanyaga clutch na kubadilisha gia lakini dash board itaonyesha speed ileile ya 80km/h kutokana na kwamba kitendo kimefanyika kwa haraka lakini kumbe wakati unabadili gia speed ilishuka mpaka 78km/h. Ginner na Architect E.M wametoa observation nzuri kuhusu concept ya speed
 
Last edited by a moderator:
tatizo wengi wenu humu mmezoea kupanda daladala ama gari za kuazima!
ukubwa wa injini nikimaanisha wingi wa pistoni ndio mpango mzima wa kuelewa nguvu ya gari na inavyoweza kukata safa,kwa mfano speed 120 kwa km100 gari 4sld inakata kwa saa moja wakati gari ya 6sld itakata kwa speed na km hizohizo kwa dakika 45,na ya 8sld itakata kwa 35 dakika.
gari kubwa(za mizigo)kama ipo tupu speed 120 sawa na corolla ya 4 sld speed m 140

Kwa akili za namna hii kama umefika form 2 basi nchi iko hatarini.

C'mo guys! Speed = Distance Covered / Time Taken. Ili useme object fulani imesafiri _ _km/h lazima utakuwa umekokotoa umbali uliofikiwa na muda uliotumika kufikia umbali huo.

Sasa suala la speedometer ya gari kubwa au ndogo kufungwa makalioni mwa gari au kichwani halileti tofauti.

Sijui tunashindwa kuelewa wapi hapa na mimi si mwalimu kwa hiyo nina shida ktk kumwelewesha mtu. Hebu tuzingatie kwamba Speed sio kwa magari tu, binadamu, punda, farasi, na bata nao tunaweza kukokotoa mwendokasi wao.

Labda wewe Rebel volcano nikuulize, mtu akisema 'CHEETAH ANAKIMBIA KWA MWENDOKASI WA 60km/h' kitakuwa kimezingatiwa nini katika kupata mwendokasi wa CHEETAH, ukubwa wa piston au DC/TT?

Mnataka kuleta complication mpk mjichanganye wenyewe. Bulldozer lina piston kubwa kuliko hilo basi na lori, speed yake ni kubwa?
 
Last edited by a moderator:
i like ur answer mkuu lakini huu ubishi miaka ya nyuma ulishawahi kutokea sana aise, na mie niliwahi kuona discovery channel, waliweka bmw x5 na pikipiki ya yamaha then zikawekwa kwenye starting point lakini gari lilimaliza mita 100 likiwa na speed over 120 lakini pikipiki ilimaliza point hiyo hiyo ikiwa below 120..............point here ni kwamba both wakiwa 120 speed kwenye dashboard hawawezi kuwa sawa kwenye acceleration
 
i like ur answer mkuu lakini huu ubishi miaka ya nyuma ulishawahi kutokea sana aise, na mie niliwahi kuona discovery channel, waliweka bmw x5 na pikipiki ya yamaha then zikawekwa kwenye starting point lakini gari lilimaliza mita 100 likiwa na speed over 120 lakini pikipiki ilimaliza point hiyo hiyo ikiwa below 120..............point here ni kwamba both wakiwa 120 speed kwenye dashboard hawawezi kuwa sawa kwenye acceleration

Thanx to GOD im not a teacher maana wanafunzi kama ninyi ningetembeza mboko tu kwa kwenda mbele.......
Labda mwenzetu saimon111 utusaidie nini maana ya 120km/hr? kwa uelewa wako?
Na kwanini na kwanini vyombo vikiwa katika speed msambamba vitofautiane vipimo?
 
Last edited by a moderator:
kila gari linaopokuja huwa lina specifications zake, watengenezaji huwa wanafunga matairi ya size inayoendana na speedometer ya gari husika. na speedometer huesabu mzunguko wa tairi na kujua ni distance kiasi gani imekuwa covered kwa mzunguko mmoja as size ya tairi huwa imekwisha kuwa pre installed kwenye speedometer.

kwamaana iyo tractor tairi yake ikizunguka lets say mara moja speedometer yake itakuwa itacount kuwa labda 10meters zimekuwa covered na bajaji imekuwa set icounts kiasi flan cha mwendo baada mizunguko kadhaa ya tairi lake

tatizo huwa linakuja pale mtu anapofunga matairi makubwa au madogo kuliko iole size default ya gari husika.. mfano gari ya tairi size 14 ukafunga size 16 au 12. hii itafanya speedometer idanganye speed kwamaana ya kwamba mzunguko mmoja wa shaft ya matairi speedometer itakuwa inacount ile distance inayokuwa iko covered na tairi ya size 14 labda ni meter 5 kumbe umeweka tairi kubwa linalocover 7m au dogo linalocover 5m kwaivyo unakuta speedometer inaonesha speed kukwa lakini mwendo ni mdogo kama umefunga tairi ndogo au speed unayotumia ikawa kubwa kuliko ile inayoonekana kwenye speedometer kama umefunga size kubwa ya tairi kuliko ile inayotambulika na speedometer ya kifaa husika

hitimisho ni kwamba..120km/hr ya scania ni sawa na 120km/hr ya bajaji na ya guta as far as zote zinatumia size za matairi iliyowekwa na watengenezaji. kama matairi yamefanyiwa utundu kuongezwa au kuwa madogo basi speed itaendelea kuwa the same ya 120km/hr ila speedometer zenu zitakuwa zina read differently

Kama hauna phd nakutunukia rasmi ya heshima
 
Nyie mnaleta utani, hebu chukulia speed ya basi 140 km/hr, likitambaa na hizo speed, hata land kruz yenye spd 220, kuliona ni ishu nyingine. Kwahiyo spd 120 ya gali iko juu ukilinganisha na ya pikipiki, pikipiki ikifika 120 inakuwa nyepesi na haikanyagi chini ipasavyo, gali ni tofauti.na ndo maana wanafizics wanasema ACCEleration due to GRAVITY.
Alichoongelea Mkuu Robert amejaribu kuwakumbusha japo kwa kifupi tu kanuni ya kifizikia:

MOMENTUM=MASS X ACCELERATION

Maana yake ni Uzito (Mass) una sehemu kubwa sana kwenye mwendo kasi wa kitu katika kushindana na nguvu ya ukinzani (resistance) from wind. Ni uzito huo huo unafanya kama ni matairi kushika vizuri lami na kusababisha mserereko (acceleration) utendeke vizuri. Tofauti huwa ni wakati kitu au gari hilo kubwa linapoanza kujongea (movement) linakuwa zito lakini likichanganya hata kitu/gari dogo halioni ndani.
 
Speed ya 120km/hr ni sawa na speed ya 120km/hr ya gari. Kwa sababu defintion ya linear speed ni distance covered for particular time or distance covered per unit time. Hii tafsiri ni kwa kitu chochote ambacho kinaweza kutembea. Baada ya hapo kuna angular speed/velocity sasa hapa watu wengi ndio wanachanganya, hii inazungumzia sana kitu kujizungusha (rotation on it axis or revolution) katika mhimili wake na vipimo vya mzunguko huwa ni revolution per minute (rev/min), wakati vipimo vya mwendokasi mnyoofu (linear speed) ni km per hour (km/hr).
Point to note: Linear speed inayozungumziwa hapo ni mwendokasi wa chombo ni si sehemu ya hicho chombo kama tairi, piston, engine n.k, speed ya mzunguko (angular velocity/speed) hii ndio inazungumzia sehemu ya hicho chombo kama speed ya matairi kujizungusha kwenye mhimili wake(axis), mzunguko wa engine n.k.
Ukitaka kujua speed ya chombo chochote fanya zoezi dogo chukua pikipiki,bajaji, ori, gari, tingatinga, mtu mzima, mtoto, kinyonga vyote vianze muda mmoja kuondoka ubungo na urecord muda wa kuanza safari halafu kavisubiri Morogoro napo urecord muda wa kufika kila kimoja, sasa chukua muda ambao chombo kimetumia kufika Morogoro gawanya kwa umbali wa Morogoro ndio speed, mwisho wa siku kama vikifika pamoja unajikuta unakubaliana na mimi vilikuwa na speed moja ya unyoofu, sasa speed ya matairi yaani angular veleocity unaweza kuja kuona matairi ya bajaji ni 6rev/sec, pikipiki 4rev/sec, lori ni 2rev/sec ingawa linear speed itakuwa moja.
Chukulia mfano wa trakta tairi za mbele zilivyo ndogo na tairi za nyuma zilivyo kubwa, kwa hiyo kwa mujibu wa wajumbe wanaobisha trakta linatembea kwa linear speed mbili yaani ya mbele tofauti na nyuma, kitu ambacho si kweli ila mzunguko wa tairi za mbele na nyuma ni tofauti inawezaka katika sekunde moja tairi ya mbele inazunguka mara 20 wakati ya nyuma inazunguka mara 4 lakini speed ya chombo ni moja.
NB. Kinachanganya hapa ni ukubwa wa matairi hebu fikiria na vitu ambavyo havina matairi ndio utaelewa vizuri kwa mfano ndege, meli, mtu, risasi, mpira, ngumi ndio utaelewa vizuri.
 
Speed ya 120km/hr ni sawa na speed ya 120km/hr ya gari. Kwa sababu defintion ya linear speed ni distance covered for particular time or distance covered per unit time. Hii tafsiri ni kwa kitu chochote ambacho kinaweza kutembea. Baada ya hapo kuna angular speed/velocity sasa hapa watu wengi ndio wanachanganya, hii inazungumzia sana kitu kujizungusha (rotation on it axis or revolution) katika mhimili wake na vipimo vya mzunguko huwa ni revolution per minute (rev/min), wakati vipimo vya mwendokasi mnyoofu (linear speed) ni km per hour (km/hr).
Point to note: Linear speed inayozungumziwa hapo ni mwendokasi wa chombo ni si sehemu ya hicho chombo kama tairi, piston, engine n.k, speed ya mzunguko (angular velocity/speed) hii ndio inazungumzia sehemu ya hicho chombo kama speed ya matairi kujizungusha kwenye mhimili wake(axis), mzunguko wa engine n.k.
Ukitaka kujua speed ya chombo chochote fanya zoezi dogo chukua pikipiki,bajaji, ori, gari, tingatinga, mtu mzima, mtoto, kinyonga vyote vianze muda mmoja kuondoka ubungo na urecord muda wa kuanza safari halafu kavisubiri Morogoro napo urecord muda wa kufika kila kimoja, sasa chukua muda ambao chombo kimetumia kufika Morogoro gawanya kwa umbali wa Morogoro ndio speed, mwisho wa siku kama vikifika pamoja unajikuta unakubaliana na mimi vilikuwa na speed moja ya unyoofu, sasa speed ya matairi yaani angular veleocity unaweza kuja kuona matairi ya bajaji ni 6rev/sec, pikipiki 4rev/sec, lori ni 2rev/sec ingawa linear speed itakuwa moja.
Chukulia mfano wa trakta tairi za mbele zilivyo ndogo na tairi za nyuma zilivyo kubwa, kwa hiyo kwa mujibu wa wajumbe wanaobisha trakta linatembea kwa linear speed mbili yaani ya mbele tofauti na nyuma, kitu ambacho si kweli ila mzunguko wa tairi za mbele na nyuma ni tofauti inawezaka katika sekunde moja tairi ya mbele inazunguka mara 20 wakati ya nyuma inazunguka mara 4 lakini speed ya chombo ni moja.
NB. Kinachanganya hapa ni ukubwa wa matairi hebu fikiria na vitu ambavyo havina matairi ndio utaelewa vizuri kwa mfano ndege, meli, mtu, risasi, mpira, ngumi ndio utaelewa vizuri.

Ahsante mkuu, mfano WA trekta umefunga mjadara....big up chief na niwashukuru nyote kwa michango yenu...Asanteni sana!!
 
Back
Top Bottom