kama ni hivyo sina shaka
maana nilikua namuwazia russia kua peke yake.
hivi kule mashariki ya mbali tofauti na china pamoja na north korea kuna nchi gani nyingine wanaiunga mkono russia
Mkuu sio nchi zote zinaweza kua na ujasiri wa kuiunga mkono Urusi moja Kwa moja au hadharani kutokana na vitisho vya uncle Sam.
Kumbuka hata kwa hao wajumbe wa NATO wapo wanaokerwa na Marekani,na Kuna wengine wanatamani hata Leo umoja wa NATO uvunjike ijapokua ni wanachama wa NATO.
Miongoni mwao ni ufaransa na ujeremani,Hawa wanatamani kua na umoja wa kijeshi wa ulaya usiokua na Marekani.walijaribu hata kuunda na kuuita European Army.
Vivyo hivyo kwa nchi za Far East,zipo nchi hazivutiwi na tabia za Marekani lakini ujasiri wa kuipinga Marekani hadharani ndio hawana.lakini utakuta wanashirikiana vizuri TU na Urusi.
Nchi za Far East ni nyingi TU zilizokua na milengo ya Ki Maxist na ambazo zamani zilikua himaya ya Urusi.
Hizi haziwezi kuipinga Marekani hadharani kwa sababu ya fitina za USA.
Hata hivyo baadhi TU ya nchi chance za Far East amabazo hazina tatizo na Urusi ni Vietnam, Indonesia na Myanmar.
 
Hii SMO imeisaidia sana Urusi aisee.
Mambo mengi yameiendea vizuri.

Russia now world’s fourth largest agricultural exporter – Putin

The country has been stepping up shipments abroad thanks to bumper harvests, according to the Russian president
Russia now world’s fourth largest agricultural exporter – Putin

Russia is now one of the major agricultural exporters in the world, President Vladimir Putin has said while meeting with Russian farmers.

On Tuesday, the president arrived in Stavropol Region, southern Russia, where he met with the employees of the Solnechny Dar greenhouse complex of the Eco-Culture agro-industrial holding.

“We have become the fourth country in the world in terms of exporting agricultural products, and the first in the world in terms of [exporting] wheat,” Putin said, noting that revenue from such exports on the global market amounted to $43.5 billion. Russia is also one of the leaders in terms of meat production, he added.

According to Putin, this is the first time in the country’s history that the agricultural sector has achieved such results. At the same time, the president noticed the need to boost production of tomatoes and some other types of products, so as not to depend on imports.
 
Hero of Russia soldier hits US-made Abrams, making it third such tank to be destroyed

NOVOSIBIRSK, March 5.
Russian soldier from the Novosibirsk-based special forces brigade has struck another US-made Abrams tank, bringing the total number of destroyed US tanks to three.

"His commander wrote to me," said Panfyorov, who is a member of the Novosibirsk Region legislature. "There was a strike on an Abrams."

"It was a precise strike. The distance to the target was about 6 kilometers. The strike was at night," the lawmaker went on to say.

"He is a Hero of Russia and he continues to beat the enemy. There is probably as many as two enemy companies that he has destroyed," he continued.

The soldier destroyed as many enemy vehicles.
 
Ufaransa naona wamepania Sasa kuhakikisha Urusi haishindi vita hii,je wamewahi au wamechelewa.
Ukraine inasaidiwa sana ila sema haisaidiki.

Sukhoi Su-27 fighter escorts two Rafale aircraft and flying radar over Black Sea
Foreign aircraft fly over Black Sea region to collect strategic information for Ukraine
06.03.2024

A Russian Su-27 fighter was scrambled to escort a group of French Air Force aircraft over the area of the Black Sea, the Russian Ministry of Defenсe said.

Foreign aircraft fly over Black Sea region to collect strategic information for Ukraine

"The crew of the Russian fighter identified the air targets as an E-3F long-range radar detection and control aircraft (AWACS) and two Rafale C multi-role fighters of the French Air Force. As the Russian fighter approached, the foreign military aircraft turned away from the State border of the Russian Federation and left the airspace above the waters of the Black Sea,” the department said.

The flight took place in strict accordance with international rules for the use of airspace. The Russian fighter did not make a dangerous approach to the foreign aircraft.

Since the beginning of the special military operation in Ukraine, the number of flights of Western combat and reconnaissance aircraft over the Black Sea has increased. On February 22, a British reconnaissance aircraft RC-135 Rivet Joint was spotted near Crimea. The plane was escorted by two Eurofighter Typhoon fighters.

A US Navy aircraft was spotted near Crimea in late January when the Ukrainian military attacked the peninsula. The American plane was flying over the Black Sea coast of Romania, about 250 kilometres from the western part of Crimea. Its track began in Sicily near Sigonella US Naval Air Station.

It is believed that Western aircraft try to collect strategic information and transfer it to Kyiv for further attack
 
Afya ya akiri hakika.
Nimeshiba haswaa!
 
Europe nzima imechanganyikiwa baada ya kuona Russia inazidi kusonga mbele. Macron anashawishi NATO wajiingize mazima.. sijui watakubali?
Komredi hiyo ni ngumu!
Nimesoma kombora SATAN 2 LINA VICHWA 16. LIKIPIGA JIMBO LA CARIFONIA, INAFUTWA, AMA LIKIPIGA BURUNDI NA RWANDA ZINAFUTIKA, AU UFARANSA HAKUNA KINACHOBAKIA, PIA NI UNDITECTABLE, KASI 26,000KM KWA LISAA. SASA PUTIN KATAMBULISHA 4, HILO MOJAWAPO.
HAKUNA SHOGA WALA TEJA ATADHUBUTU KUJIUZA UKRAINE.
 
Kweli
 
Nina hamu kuwapangisha Wazungu kwa bei kubwa hili wafidie Mali walizotupora.
 
Leo wahuni wamemuonyesha zelensky ya kwamba wana uwezo wa kumfanyia umafia dakika yeyote watakayohitaji.
============

BREAKING: Russia hits the position where Zelensky held a ceremony and awarded medals to special forces soldiers in Odessa.

A very interesting strike! Literally a few tens of minutes before, Zelensky was rewarding Ukrainian special forces officers in there, in the Odessa port. This location was hit with an Iskander missile.

It was known for certain that Zelensky had already left by that time, but the awarded special forces officers were still there.

Your browser is not able to display this video.
 
Zelensky says he was in the port of Odessa and saw the impact, there are 200 and 300, and the Russians are just angry.

“We saw this strike today. You see who we are dealing with, they don’t care where to hit.

I know that there were casualties today, I don’t know all the details yet, but I know that there are dead and wounded.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…