Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Haiingii akilini wewe mwenye hisa 16% ugawane sawa kwa sawa na mwenye hisa asilimia 84%. Tatizo la wasomi wetu Tanzania ndio hilo, ni wanafiki wakubwa. Wangeeleza wazi hizo ni economic benefits na ni Implicity. Yaaani maana yake they are by implication but not financially kwamba tunapewa asilimia hamsini. hamna kitu kama hicho duniani. Sasa sijui lengo lilikua ni nini kudanganya watanzania. Hii nchi kuna mengi yamejificha aisee,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…