JOMAKIBU
JF-Expert Member
- Apr 18, 2015
- 538
- 70
Napenda kuwakaribisha wahitimu wa kidato cha sita na vyuo vya Diploma wanaopenda kujiunga UDSM kwa kozi mbalimbali. Wanaweza uliza swali lolote na watajibiwa vyema kabisa
Chini 👇🏻ni link ya group maalum kwa freshers 2019/2020
Click link hyo uingie kwenye group
Chini 👇🏻ni link ya group maalum kwa freshers 2019/2020