Natami kuwa na mwanaume mwenye sifa ninazotaka Mimi lakini Hamna sababu wamelelewa tofauti na Mimi ninae mtaka na mlezi wao mmoja wanafanana jinsia adi tabia daa bora niishi hivihivi mpaka uzee na kifo sababu wanakera sana hawana shukrani ata wanachokitaka sikijui mpaka sasa oohooo story nilikuwa nawaza tu kwa sauti!