ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 2,903
- 6,494
Ungekua unaweza gym ungenda gym kufanya mazoez ya juuView attachment 3555424
Unataka tu niji body shame mamaake😂 hebu kweliii🥺
Ungekua unaweza gym ungenda gym kufanya mazoez ya juuView attachment 3555424
Unataka tu niji body shame mamaake😂 hebu kweliii🥺
Naomba niachwe😂Ungekua unaweza gym ungenda gym kufanya mazoez ya juu
Hatukuachi tupo sambamba🤣🤣Naomba niachwe😂
umeona eenheWe huna ata kidogo hilo tumbo👌🏽
Unapenda kupika nini?😆😆 ila mimi napenda jiko sana na naliwezi si haba
Duh ,huwa mnaniona jobless eeeSi ushaona, Min hakawii kuja akaanza kukusanya mafaili 😂
Umepoa mwenyewe safi, mbona hauonekani kama ulikua unafanya mazoezi?MieView attachment 3555429mie naenda nikipata nafasi
Karibia vya ngano vyote na vinginevyo piaUnapenda kupika nini?
Nataka mtu anifundishe kupika sambusa, ila nisiwe nazikaanga but nazipikia kwenye airfryer 😬😬😬
Si unaona ushatajwa kidogo tu, hata hujatagiwa ila huyo umefika 😂Duh ,huwa mnaniona jobless eee
Ndio kwanza nilikua nimefika na hiyo siku sikua happyUmepoa mwenyewe safi, mbona hauonekani kama ulikua unafanya mazoezi?
Sasa je 😍😍😍 umenawiri!Mie binti maji ya kwanza nimecheka🤣
Mna trendisha uzi wenyewe, mimi hata sijawaona mnajishtukia tuSi unaona ushatajwa kidogo tu, hata hujatagiwa ila huyo umefika 😂
Sawa, hakuna hata cha kuona 😂Mna trendisha uzi wenyewe, mimi hata sijawaona mnajishtukia tu
Hayo ni wewe umesema , ila ningewaona nisingeacha kutia neno , nyie ni marafiki zangu mbona🤗Sawa, hakuna hata cha kuona 😂
Nice, ulijifunza kwa ajili ya biashara au ni kupenda tu kupika?Karibia vya ngano vyote na vinginevyo pia
Lakini ukiwa haujisikii vizuri, kwenda gymn au kufanya tu mazoezi ya kawaida kunasaidia sana.Ndio kwanza nilikua nimefika na hiyo siku sikua happy
Yani mimi ni mvivu niko radhi nipikie kwenye heater au multi cooker😂Unapenda kupika nini?
Nataka mtu anifundishe kupika sambusa, ila nisiwe nazikaanga but nazipikia kwenye airfryer 😬😬😬
Tuhameni jamani😂Sawa, hakuna hata cha kuona 😂
Multicooker hata haina shida inarahisisha sana, mimi naitumia na vitu vyote vya kukaanga au kuchoma ninapika kwenye airfryer na wali kwenye rice cooker, kwishaaa 😂Yani mimi ni mvivu niko radhi nipikie kwenye heater au multi cooker😂
Ilikuwaje 😂😂Siku nikiweza takuonesha picha, before last yr tulienda vacation acha tu 😂🙌🏾
Break imeisha, tutarudi jioni.Tuhameni jamani😂