Ricecooker
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 501
- 896
Iyo ni bei elekezi,si mbaya mnada utaamua being ya ushindani.Mwaka Jana being elekezi ilikuwa 1300
Kweli Mkuu ndo bei elekezi hiyoUongo uongo... acha joking master
Mkuu naomba unijuze vyema, nahitaji kuja mtwara kuangalia hiyo fursa ila ni mgeni kwenye hili swala. Kilo ni sh 2000 ambayo haijabanguliwa mimi nataka iliyobanguliwa kabisa.Zishaanza kupatikana katikat ya masasi na newala, bei 2000
Mkuu korosho iliyobanguliwa inapatikana kwa shida inatafutwa Kama dhahabu, kwa sababu korosho Bado haijachanganya ni bahadhi tu ya maeneo machache ndo inapatikana, inapatikana kwa kg 20,000 , serikali ipo macho saana Kuhusu korosho, ina mana Kama sahiv mashambani vijijin sehemu ambazo korosho teyari wanauza yenye maganda kg 2000, ukifanikisha kupita vizuizi na kuleta mjin newala unauza kwa elf 3000 kwa mabosi ambao wanataka kuzibangua,, shida ipo kuzitoa vijijin mashambani na kuileta mjini,, upatikanaji wa urahis labda uvute Subira Kama wik mbili Hivi, sehem nying itakua teyariMkuu naomba unijuze vyema, nahitaji kuja mtwara kuangalia hiyo fursa ila ni mgeni kwenye hili swala. Kilo ni sh 2000 ambayo haijabanguliwa mimi nataka iliyobanguliwa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU ambayo imebanguliwa kwa sasa Yah 25000 kwa kilo moja kuna wakenya na wachina wameingillia kati wanatafuta mzigo mkubwaMkuu naomba unijuze vyema, nahitaji kuja mtwara kuangalia hiyo fursa ila ni mgeni kwenye hili swala. Kilo ni sh 2000 ambayo haijabanguliwa mimi nataka iliyobanguliwa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ambazo hazijabanguliwa wiki hii kwenye blackmarket zinauzwa elfu 2 na mia tano kwa kilo moja
Mara 4 had 7Kwa mwaka mti wa mkorosho unapuliziwa dawa mara ngapi?
Duh we kweli uliotea1450
Mkuu uko vizuriNimetoka Jana newala, aisee hadi 2700 kilo zinauzwa,, sasahiv ni dil Sana korosho, zikichanganya bei itashuka
Inabidi uende masasi au newala au Tandahimba kuna wabuanguaji wadogo kwenye vyama vyavushirika utapata.Mkuu naomba unijuze vyema, nahitaji kuja mtwara kuangalia hiyo fursa ila ni mgeni kwenye hili swala. Kilo ni sh 2000 ambayo haijabanguliwa mimi nataka iliyobanguliwa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app